Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

Inawezekana, maana Kubenea ana jina la kiislamu lakini si muislamu kwa sababu anatumikia maadui wa Uislamu. Munafiq ni mbaya kuliko twanghut!
 
Me nadhani its hi time kwa BAKWATA kuomba radhi umma wa wadanganyika kwa kudandia treni kwa mbele...!! Next time wawe wanafanya tathmini yakinifu kabla ya kuja na kauli zisizo na mashiko badala yake wanaumbuka buuree...!!
 
Duh hatari kubwa BAKWATA watakuja na lipi tena kutumiwa kijinga kubaya.
 
Wala sio Kubenea na mwanahalisi, ilishatolewa JF mapema tu kuwa huyu mama si mwislam, labda mwanahalisi waliiona humu wakaifatilia kwa undani zaidi. Kwahiyo hapo afichui chochote, zaidi ya kuhabalisha wasiojua kama wewe.

Sio busara kubeza maoni ya watu hapa JF, hata kama hiyo issue ilitolewa hapa JF kuna ubaya gani kwa mtu huyu aliyeifahamu habari hii kupitia Mwanahalisi kutoa maoni yake?, be fair please hatugombani hapa.
 
Duh hatari kubwa BAKWATA watakuja na lipi tena kutumiwa kijinga kubaya.

Siyo Bakwata tu hata habari leo, Uhuru, Radio imani, wanazuoni wa kiislama nao walishupalia na kusema amedhalilishwa Mwislam mwenzao. Sasa mbona hawatoi matamko mengine. Udini bwana na ubaguzi wowote haufai. Mwisho wake dhambi hiyo ya ubaguzi wa kidini itawatafuna hadi kwenye moto usiozimika.
 


Naona DC atakuwa hautaki ukristo ndio maana hajasema..automatically anakuwa muislamu
 
Mbona kuna vibaka chungu nzima baadhi wakiwa waislam wanavuliwa nguo na kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali lakini BAKWATA haijawahi kulaani udhalilishaji huo wa wazi?
 
Inawezekana, maana Kubenea ana jina la kiislamu lakini anatumikia maadui wa Uislamu. Munafiq ni mbaya kuliko twanghut!
Ndo tatizo kubwa mlilonalo kila mmoja anajiona msafi kuliko mwenzake. Sasa wee unajiona muislam zaidi kuliko kubenea.
 
atakanusha vp wakati hajui kama kuna thered inamhus huku?,mwambie jidura ampelekee taarifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…