Huyo Muro kiboko yake ni Haji Manara wa Wekundu wa Msimbazi!View attachment 1855570
DC wa Ikungi Jerry Muro amepiga marufuku mijadala ya katiba kwa wananchi wa wilaya hiyo pamoja na kusanyiko lolote linaloashiria kuhamasisha wananchi kujadili katiba pamoja na mikutano ya hadhara.DC huyo amesema wilaya hiyo haihitaji katiba bali inahitaji huduma kama maji,shule.
Huyu na sabaya wote ni watu wa Meko. Hawastahili kupewa madaraka awamu hii. Watapasuka mapema sanaView attachment 1855570
DC wa Ikungi Jerry Muro amepiga marufuku mijadala ya katiba kwa wananchi wa wilaya hiyo pamoja na kusanyiko lolote linaloashiria kuhamasisha wananchi kujadili katiba pamoja na mikutano ya hadhara.DC huyo amesema wilaya hiyo haihitaji katiba bali inahitaji huduma kama maji,shule.
UselessView attachment 1855570
DC wa Ikungi Jerry Muro amepiga marufuku mijadala ya katiba kwa wananchi wa wilaya hiyo pamoja na kusanyiko lolote linaloashiria kuhamasisha wananchi kujadili katiba pamoja na mikutano ya hadhara.DC huyo amesema wilaya hiyo haihitaji katiba bali inahitaji huduma kama maji,shule.
Hivi katiba mpya ndio inaleta bomba la maji?
Labda uwe una maanisha kinyume chakeHuyo Muro kiboko yake ni Haji Manara wa Wekundu wa Msimbazi!
Hivi katiba mpya inazuia bomba la maji?Hivi katiba mpya ndio inaleta bomba la maji?
Uwezi zuia watu wasifikiri kuhusu haki zao afu yeye anakula national cakeView attachment 1855570
DC wa Ikungi Jerry Muro amepiga marufuku mijadala ya katiba kwa wananchi wa wilaya hiyo pamoja na kusanyiko lolote linaloashiria kuhamasisha wananchi kujadili katiba pamoja na mikutano ya hadhara.DC huyo amesema wilaya hiyo haihitaji katiba bali inahitaji huduma kama maji,shule.
hata mkuu wa wilaya haleti maji. kinacholeta maji ni mfumo thabiti unaosimamia uletwaji maji. huo mfumo unaletwa na katiba inayoundwa kusimamia uletwa bomba la maji na kusimamiwa kufanya shughuli yake. sio kila mwanamirembe aiingilie anavyotaka afanye anayoyataka yeyeHivi katiba mpya ndio inaleta bomba la maji?
Kwa hiyo sasa hivi ikungi hakuna maji kwa kuwa tuna katiba ya Zamani?hata mkuu wa wilaya haleti maji. kinacholeta maji ni mfumo thabiti unaosimamia uletwaji maji. huo mfumo unaletwa na katiba inayoundwa kusimamia uletwa bomba la maji na kusimamiwa kufanya shughuli yake. sio kila mwanamirembe aiingilie anavyotaka afanye anayoyataka yeye
hakuna maji kwa sababu hakuna fair resources distribution system ambayo haitajwi kwa jina lake kwenye katiba ya sasa. zaidi hata kama huo mfumo umetajwa kwenye katiba ya sasa hata kwa kidogo hakuna wa kuhakikisha unasimamiwa kama ulivyoandikwa zaidi ya mtu mmoja kuelekeza kifanywe anachotaka katika maeneo ya nchi anayoyataka kwa watu anaowataka yeye labda sababu ya umilembeKwa hiyo sasa hivi ikungi hakuna maji kwa kuwa tuna katiba ya Zamani?
Dunderhead.com
au wewe unafikiri nini kinaleta maji, mwendazake?Kwa hiyo sasa hivi ikungi hakuna maji kwa kuwa tuna katiba ya Zamani?
Dunderhead.com