Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mali binafsiYa serkali??
Shule yake binafsi? Na Jerry ni Mlokole? Nimesoma naye Junior Seminary Jerry na pia nimekuwa naye siku za karibuni hapa Dar na kule Arusha! Kama ule nilioushuhudia kwa macho yangu ni Ulokole basi njia ya kwenda mbinguni imekuwa pana badala ya kuwa nyembambaDC Jerry Muro ni DC kijana na mchapa kazi kwani katika wilaya yake anewezesha uanzishwaji wa Shule ya mchepuo wa kingereza yaani English Medium.
Katika mkoa wa Arusha kuliwahi kuwa na Shule ya English Medium ijulikanayo kama Arusha School ambayo mfadhili wa Simba Mo Dweji alipata kusoma hapo. Shule hiyo ni ya Serikali.
Leo hii kijana mpambanaji na mlokole ndugu Jerry Muro ameweza kujenga Shule nyingine ya mchepuo wa kingereza ambayo itashindana na shule binafsi.
Kongole kwake..
Kwani nawe ni greater thinker? Kweli Ccm ni jangaFor Great Thinkers only
Hata zamani kulikuwa na shule chache za mchepuo wa kingereza.MATAGA hamueleweki. Nyie mnataka kukienzi kiswahili au lugha ya mabeberu iliyokuja kwa majahazi? Siku nyingine ukiandika vitu vya kusifia mabeberu uwe unaandika kwa lugha yao ili wakuelewe. Wanaweza kuleta posa wakuoe kabisa
Kwa hiyo mnataka kurudi kwenye lugha ya wakoloni badala ya kufata kabisa hizi shule tutumie lugha yetu?Hata zamani kulikuwa na shule chache za mchepuo wa kingereza.