DC JOKATE: MIKOPO KWA WAMACHINGA
"Kuhusu Machinga tunashukuru tumeendelea kushirikiana vizuri na Viongozi wetu wakaeleza maeneo fulanifulani ambao walikuwa wanahitaji tuangalie kwa jicho la tatu, zoezi linaenda vizuri tumefufua masoko ambayo yalikufa"
"Tumeielekeza Manispaa kwamba walioingia maeneo rasmi tuwaangalie kwa jicho la kipekee tuwapelekee huduma za mikopo ili waone faida ya kwenda kwenye maeneo ya Serikali na haya ni maelekezo ambayo nayatoa nategemea yafanyiwe kazi Manispaa waende kwenye masoko na kuangalia namna bora ya kuwaongezea mitaji Wamachinga"
"Kuhusu Machinga tunashukuru tumeendelea kushirikiana vizuri na Viongozi wetu wakaeleza maeneo fulanifulani ambao walikuwa wanahitaji tuangalie kwa jicho la tatu, zoezi linaenda vizuri tumefufua masoko ambayo yalikufa"
"Tumeielekeza Manispaa kwamba walioingia maeneo rasmi tuwaangalie kwa jicho la kipekee tuwapelekee huduma za mikopo ili waone faida ya kwenda kwenye maeneo ya Serikali na haya ni maelekezo ambayo nayatoa nategemea yafanyiwe kazi Manispaa waende kwenye masoko na kuangalia namna bora ya kuwaongezea mitaji Wamachinga"