#COVID19 DC Jokate punguza kuji-brand. Kwanini TMK Marathon na COVID hii?

#COVID19 DC Jokate punguza kuji-brand. Kwanini TMK Marathon na COVID hii?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Mh Jokate ndo kwanza una wiki ya kwanza kwenye wilaya hii baada ya uteuzi. Nakushauri ungeanza kujikita na kufanya assesment ya matatizo mbalimbali kwenye wilaya yako na kuyatafutia tiba. Instead umeanza na ileile tabia yako ya kujibrand ili uonekane.

Kumbuka hizi ni zama za Samia Suluhu Hassa siyo za JPM. Kuna watu wanapiga kazi huko kama kina Mtaka, Kina Mtatiro na huwasikii na hizi ishu za kujitengenezea brand.

Tumesikia jana tu Mh. Rais ametuangazia kuwa kuna wagonjwa wa COVID , lakin pia tuna taarifa ya wimbi la tatu la ugonjwa huu.

Tumeona pia wizara ya afya ikianza kusisitiza hatua za kujikinga na ugonjwa huu ikiwemo mikusanyiko isiyo na lazima.

Tambua wewe ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, ungeanzia huko kwanza kuliko kutengeza mikusanyiko isiyo ya lazima na michangomichango ya charity kwa ajili ya kugain popularity.

AWAMU HII SIYO YA MEDIA, TUPIGE KAZI NA TUONGEZE TAHADHARI DHIDI YA UVIKO-19


E4ysgNLXMAIYRXd.jpg
 
Jokate Yuko serikalini,anajua Corona haipo ila ni zuga tu kupata fedha ya wazungu.Acha aendelee na mipango take.
 
Hivi kwenye orodha ya washika dau Temeke jina lako linasomeka kweli? Mwache Mama afanye kazi zake kwa namna yake. Hao waliokuwepo orodhesha waliyoyafanya ambayo hatayaweza!! Hata wa awamu ya tano bado tunarekebisha mengi!!
Unahoji haya wewe kama nani,na hata nikikutajia jina wewe utafanya nini? Acha umburula Temeke ina matatizo mengi kuliko hizo kick zake za Marathon anazozitafuta,asolve kwanza matatizo ya madawati na uhaba wa madarasa,matatizo ya madawa kwenye hospital za kata,matatizo ya vibaka,matatizo ya uzoaji tako mitaani,polisi kuvuruga biashara za wenye Mabaa kwa kutaka wawe wanachukua hela kila wapitapo huku watu wakilipa kodi kihalali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahoji haya wewe kama nani,na hata nikikutajia jina wewe utafanya nini? Acha umburula Temeke ina matatizo mengi kuliko hizo kick zake za Marathon anazozitafuta,asolve kwanza matatizo ya madawati na uhaba wa madarasa,matatizo ya madawa kwenye hospital za kata,matatizo ya vibaka,matatizo ya uzoaji tako mitaani,polisi kuvuruga biashara za wenye Mabaa kwa kutaka wawe wanachukua hela kila wapitapo huku watu wakilipa kodi kihalali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo unayoyataja ni ya kitaifa! na kila kiongozi kwa nafasi yake ananamna yake kuyatatua!! sasa toa namna bora ya kupata hayo madawati ili wenye nafasi zao wazitumie kwa ustawi wa Temeke na kwa sifa zao kama hutojali!!!
 
Yaani huu Uzi akiuona na huko kujicalolaiti na image za edited attaelewa asielewe huku ndo buza kwa mpalange
 
Back
Top Bottom