Kaaaazi kweli kweli. By the way nimesikia ma DC wengi ni masikini kuliko tunavyodhani. Kama ikitokea unaulizwa je nukupatie u-DC au Ukurugenzi wa Wilaya, ngd. kimbilia ukurugenzi. DC hana fungu na muda mwingi ni omba omba kwa mkurugenzi wa halmashauri