ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
My Take
Naunga mkono hoja.Hawa matapeli waliojificha kwenye mgongo wa dini washughulikiwe.
Kwanza wao wanataka kwenda Mbinguni Kwa nini wawe wanahangaika na Mali za Duniani? 😂😂😂
---
MKuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti ageuka Mbogo Mkutanoni mara baada ya Askofu kufanya udanganyifu mbele ya hadhara kuwa alitoa eneo la Hekali 05 Kwa ajili ya Shughuli za Kijamii.
Akitoa Ufafanuzi wa Sakata la Mgogoro wa eneo hilo Afisa ardhi alipinga hoja hiyo huku akimtuhumu kuwa askofu amefanya udanganyifu mbele ya DC Magoti
Naunga mkono hoja.Hawa matapeli waliojificha kwenye mgongo wa dini washughulikiwe.
Kwanza wao wanataka kwenda Mbinguni Kwa nini wawe wanahangaika na Mali za Duniani? 😂😂😂
---
MKuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti ageuka Mbogo Mkutanoni mara baada ya Askofu kufanya udanganyifu mbele ya hadhara kuwa alitoa eneo la Hekali 05 Kwa ajili ya Shughuli za Kijamii.
Akitoa Ufafanuzi wa Sakata la Mgogoro wa eneo hilo Afisa ardhi alipinga hoja hiyo huku akimtuhumu kuwa askofu amefanya udanganyifu mbele ya DC Magoti