#COVID19 DC Mpogolo: Watumishi wa Afya msiwe na kigugumizi katika kupata chanjo

#COVID19 DC Mpogolo: Watumishi wa Afya msiwe na kigugumizi katika kupata chanjo

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mkuu wa Wilaya ya Same, Edward Mpogolo amesema baadhi ya wataalamu wa Afya wamekuwa na kigugumizi katika kupata chanjo ya #COVID19 hali ambayo huwaondolea hamasa wananchi katika kujitokeza kupata chanjo.

Amewataka wahudumu wa Afya wawe mfano bora ili kuwahamasisha wananchi kwenda na nia ya serikali. Aidha amesema Mkoa wa Kilimanjaro ni wa pili baada ya Dar es Salaam kwa idadi ya waliojitokeza kuchanja.

Pia amethibitisha kuwa wote waliopata chanjo hadi sasa hawajapata madhara yoyote.

1.jpeg
 
Sumu ya naniii ilikua silent auction items that were not able to get vaccine
 
Back
Top Bottom