chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Hii habari inashangaza, mtu kaona ghorofa lake ni chakavu, lina nyufa, na linatumiwa na watu na juu ni stoo ta mizigo. Kaamua kulivunja pengine ajenge lililo imara zaidi.
Mkuu wa Wilaya wa eneo ambalo yalitokea maafa ya ghorofa kuanguka, anamkamata na kumuweka ndani. Ebooo! Kwa hiyo Mkuu wa Wilaya alitaka likae hapo mpaka liue watanzania wengine?
Hajaona Samia na serikali nzima ilivyohangaika na kuacha shughuli zote kwa sababu ya maafa katika hiyo hiyo Wilaya yake? Hajaona familia zikilia kupoteza wapendwa wao? Hajaona mitaji ya watu ilivyokufa?
Halafu unamuweka ndani saa 48! Hivi mtu anayeokoa maisha ya wenzake ni wa kuwekwa ndani? Mtu anavunja jengo lake, na ana vibali vya Manispaa, unamuwekaje ndani? Mbona Mkurugenzi hajalalamika? Kama kuna kosa katika kibali si ushughulike na Mkurugenzi?
Hei, come on, Mr. DC, sense zako uliziacha Iringa au Njombe? au unatafuta hela za krismas? Nyambiti kabisa
Mkuu wa Wilaya wa eneo ambalo yalitokea maafa ya ghorofa kuanguka, anamkamata na kumuweka ndani. Ebooo! Kwa hiyo Mkuu wa Wilaya alitaka likae hapo mpaka liue watanzania wengine?
Hajaona Samia na serikali nzima ilivyohangaika na kuacha shughuli zote kwa sababu ya maafa katika hiyo hiyo Wilaya yake? Hajaona familia zikilia kupoteza wapendwa wao? Hajaona mitaji ya watu ilivyokufa?
Halafu unamuweka ndani saa 48! Hivi mtu anayeokoa maisha ya wenzake ni wa kuwekwa ndani? Mtu anavunja jengo lake, na ana vibali vya Manispaa, unamuwekaje ndani? Mbona Mkurugenzi hajalalamika? Kama kuna kosa katika kibali si ushughulike na Mkurugenzi?
Hei, come on, Mr. DC, sense zako uliziacha Iringa au Njombe? au unatafuta hela za krismas? Nyambiti kabisa