Mama ameanza vizuri Sana inji hii watu walikuwa wanavuna Rushwa kweupee....mama tuma vijana wako watiifu geti zote za TFS Katavi, Kigoma hasa pale Uvinza mjini, Kalenge, Basanza, Chagu, Kuna dili nyingi Sana na nyara za Serikali zinapitishwa mchana kweupe Tiss wapo, PCCB wapo Tena mita 100 toka getini wanajifungia tu ndani Kula upepo, Uhamiaji wapo hivi vyombo navyo havijitambui Mimi ni dereva wa roli napita Kila wiki hii Wilaya ni kichaka Cha uhalifu ndo maana hata maendeleo ni ni sifuri weka wachapa kazi panga pangua watu wasifanye kazi kwa mazoea, Tanganyika na Uvinza ni pua na mdomo wakulima na Wafugaji wanatoa Rushwa kwa lazima taarifa zikapelekwa lakini wahusika wanafumba macho nao itakuwa wachumia tumbo