The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo amewataka Wahandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea kusimama miradi yote kwa ubora unaotakiwa kulingana na thamani ya fedha zinazotolewa na Serikali.
Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali alisema kuwa haridhishwi viwango vya miradi mbalimbali inayojengwa katika Wilaya ya Nachingwea.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Moyo alisema kuwa wahandisi washauri wa Nachingwea hawatembelei miradi hiyo mara kwa mara na kusababisha miradi kujengwa chini ya kiwango tofauti na thamani ya fedha iliyotolewa kwenye mradi husika.
Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali alisema kuwa haridhishwi viwango vya miradi mbalimbali inayojengwa katika Wilaya ya Nachingwea.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Moyo alisema kuwa wahandisi washauri wa Nachingwea hawatembelei miradi hiyo mara kwa mara na kusababisha miradi kujengwa chini ya kiwango tofauti na thamani ya fedha iliyotolewa kwenye mradi husika.