DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

Kweli mkuu. Kwanini sisi haturuhusiwi kuwa na waume zaidi ya mmoja?.
Kwa sababu huwezi kuzaa watoto toka kwa mwanaume zaidi ya mmoja kwa mpigo, ila mwanaume anaweza kuzaa na wanawake hata 10 kwa mpigo, yaan anaweza akaitwa baba wa watoto 10 ndani ya mwaka mmoja. Ni biological advantage tuliyonayo, lakini hii si sababu ya kumnyanyasa mwanamke katika jamii iliyostaarabika.
 
Wanawake sio wa kuwaamini sana unaweza kuta huyo na anajamaa huko anakaza nati kuona isiwe tabu amruhusu mmewe aoe yeye awe bize na mdau kwenye majukumu....
 
Hii dini nzuri sana, hii inafaa kwa starehe za hapa duniani ila kama unataka kwenda mbinguni aisee no way, Mpokee Yesu awe bwana na mwokozi wako


Yesu sio Mungu,alikuwa anakula na kwenda chooni kama mimi.

Hali ya kutokuwa na baba haimfanyi kuwa Mungu, sababu hata Adamu hana baba ila hamna alimsifia kuwa ni Mungu, connection ya Yesu kwa Mungu haina tofauti na Adam.

Mungu gani anaeshikwa na haja ya najisi/uchafu kama kinyesi na mkojo?
 
Mkuu wa wilaya tu majukumu mengi na Samia atasemaje
Ha ha ha au Mawaziri wanawake, Ila tatizo Samia kwa nafasi yake mume ni rahisi kuwe nae Muda mwingi.. Maana DC anaishi Pangani, wakati Abdul yupo Dar, anafanya kazi Azam
 
Dc siku ya harusi yao 4months ago
Meanwhile.... [HASHTAG]#mrsmakame[/HASHTAG] ya june30,2017... so jamaa kaoa mjane au jamaa ndio makame mwenyewe kwamba kaoa kitu chake cha zaman
 
Wanawake wengi ambao hawajaolewa ndo wana misimamo ya kukataa wake wenza......na mtaishia hvyo hvyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…