Kwamba mkuu wa wilaya akicome anatoa hela au?Wazigua wanatokea Tanga, nikajua wewe Mzigua90 ndo umepata hii neema ya kushea jihogo la Jang'ombe na Mh mkuu wa wilaya!!!
Nyoka kajipatia mashimo mawili ndani ya Ikulu ndogo ya wilaya! Ha ha ha haaaa....
Inataka moyoHii imenikumbusha kuna dada mmoja dini sawa na DC aliwahi mshauri mumewe amuoe rafiki yake (rafiki wa mkewe) ili kumuepusha kuruka ruka hovyo, kwa maana alikuwa hajatulia, leo yupo na mwanaume huyu kesho yupo na yule. Mume nae akaridhia.
Haha unatisha sio mchezoNimejazia zaidi yake
Huyu Mama ana akili sana, ana staha, ana heshima, anajiamini, anajielewa, ataishi maisha ya furaha sana, anajuwa sasa wako 2 kulinda mzigo, ni kati ya wanawake wachache sana waliobarikiwa kipaji cha kuwa na busara, kuona mbali, kesho tu mtamsikia makamu wa rais kama siyo rais..View attachment 699163
Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainab Abdallah, ameushangaza umma baada ya kumpongeza mume wake kwa kuongeza mke wa pili, kwani ni kitendo cha nadra sana kwa wanawake kufanya hivyo licha ya kuwa misingi ya dini inaruhusu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mkuu wa wilaya huyo ameandika ujumbe huku akiujulisha umma kuwa wazo la mume wake kuongeza mke wa pili lilitoka kwake, baada ya kuona majukumu ya kazi yanambana na kushindwa kutekeleza majukumu ya ndoa.
“Assalaam Alaykum, nichukue nafasi hii kumpongeza Mume wangu kwa kuongeza mke wa pili. Kwa kuwa dini yetu ya Kiislam inaruhusu, wazo la kufanya hivyo lilitoka kwangu, kulingana na uzito wa majukumu yangu nalazimika mda mwingi kuwa mbali na nyumbani na hivyo mume wangu kukosa huduma za msingi”, ameandika Bi. Zainab Abdallah.
Mheshimiwa huyo wa serikali ya wamu ya tano aliendelea kuandika kuwa ...”Namshkuru kwa kunielewa na kulifanyia kazi ombi langu, hatimaye nimempata mwenzangu wa kusaidiana naye majukumu mazito ya ulezi wa mume. Alhamdulillah, M/Mungu ametupa riziki na uwezo, hivyo tunapaswa kutumia neema hizi na wengine. Mavazi ya mume wangu nimeyaandaa mwenyewe, yaa rabb atupe stara inshaaAllah.
View attachment 699164
Mzigua ni kweli hayo, kuwa neema za Allah ni MashaAllahNimejazia zaidi yake
Mi kweli sifai maana nitamkaba mume wetu. Nina wivu sanaaMiss natafuta njoo uwe mke mdogo ntakupenda mpk ushangae chibeb
Mzigua una chokochoko hata usijilete
Mama cha mdeko utanisumbua na utoto wako bwana akikupiga bao 5 utakuja kuniringishia demiss sikutaki tusalimiane humuhumu tu
Kivyovyote ndoa ya miaka 10 au zaidi mume akisema anaoa kwangu ruksa aoe, cha peke yangu kipo mapajani kwangu tu kushare tunashare sana tu iwe kisiri au sio kisiri wacha tupandane tu
mzigua90 shida ipo wapi sasa ili hali dini yetu inasema hivyo....ungekuwa kwetu huku ungefanyaje????Unataka kuhamishwa nyumba naona. Maana hataelewa kama unamuonyesha tu atajua tayari yupo unataka kumuupgrade awe wife number 2
Kwa nni uende kwa aliyeoa wakati ambao hatujawowa bado tupo.Mkeo atakubali?
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana nimekuwa mwenza leo wakunyumba haya niambie yupi tunayeshareNdo ukweli mwenza