DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

Anaishi na wake zake hao wawili nyumba moja!?
Hapana. Zainab mwenyewe alishahama nyumba mke wa katikati hakai nae pia maana baada ya kumbadilisha dini na kumuoa kwa siri na kumpa mimba ilivyofika miezi sita akamwambia atoe wakashindwana hapo ndo akamvuta tena bibie Salma.
 
Reactions: BAK
huyu dc naye ana yake tu ana majukumu gani mazito ya kusababisha amshauri mume aoe,akiwa wazir huyu si atataka ndoa ivunjike,mi nafikili naye kapata kamchepuko huko kwa watawala sasa anataka zaidi uhuru
Kumbe anao bwana da Mange kasema
 
Atazaa kweli huwa namuona kama mwanaume maana sijawahi muona akivaa sketi au gauni, au anakaa tu hata kaa azae mh nina mashaka ebu tuone
Sio mwanaume sema ni mshirika wa ile michezo ya jinsia moja
 
Sawaa maana wanawake tunawajua vzr huo moyo hawanaga kqbsa hata kama mfia din
Ndo nashangaa wanahalalisha kwa kigezo cha dini. Wanacheza na moyo hawa.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] fanya mama uiyone pepo uepukane na moto[emoji28][emoji28]
Nitakutana nao tu kwa style hii
 
Hakunaga issue kama kushare mtu akazifurahia ni maigizo tuu ila moyo unaumaaq
Sasa kwanini mtu uandike hadharani ufurahishe watu wakati unajua moyoni mwako unaumia unamdamganya Mungu wako.
 
Sio mwanaume sema ni mshirika wa ile michezo ya jinsia moja
hivi mtu akiwa mshirika wa ule mchezo wa jinsia moja anaweza akapata hamu ya kugegedana na mwanaume na kuvuta hisia je anaweza akazaa watoto wengi kama wengine au lazima apate tiba flan ya kisaikolojia.
 
hivi mtu akiwa mshirika wa ule mchezo wa jinsia moja anaweza akapata hamu ya kugegedana na mwanaume na kuvuta hisia je anaweza akazaa watoto wengi kama wengine au lazima apate tiba flan ya kisaikolojia.
Itakua. Sababu wengi wanafanyia mkumbo tu na kuiga.
 
Heeeee mbona kamalizia hiyo aya yake kwa kutukana matusi ya nguoni, nimeona kamtukana mwenzie kyuma ,kyuma kyuma , makubwa!!.

Halafu anatibuliwa zivu na Mbunge Aweso ndo maana hajali mmewe hata akioa wanawake 10
 
yani kupewa ukuu wa wilaya tu unamgawa mumeo hivi siku akipewa ukuu wa mkoa si atakimbia hadi ndugu zake,siku ndio kawa waziri mkuu sijui itakuaje.hivi hakumsikia makamo wa raisi mama samia kwamba anampigia mumewe magoti pamoja na cheo chake sasa huyu ukuu wa wilaya tu anaomba kusaidiwa mume ,sidhani kama kuna mapenzi ya dhati hapa.sasa huko kunakomfanya awe bize mpaka ashindwe kumtimizia mumewe yeye je anatimiziwa haja zake na nani? au yeye ni roboti.hivi nyinyi wanawake ni nani aliyewaroga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…