DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

MKUU KUOA DEMU KISU HALAFU NI DC/RC/MBUNGE VITI MAALUM INAHTAJ UVUMILIVU MKUU.. YULE DC MUNGU KAMJALIA HALAFU KAPEWA NA CHEO.. NI BALAA SHEIKH LAZMA UTAFUTE MKE WA PILI ILI UKIDHI HAJA.
 
Huyu DC kafoji umri huwa anawdanganya watu tu Bure kwanza kabla ya kuolewa alikuwa na mtoto , mkubwa tu na pia Vijana Wa uvccm n.k wamepiga sana hapo
Dooooh
 
Huyu po.po.ma vipi. Atuoneshe Aya gani kwenye Quran tukufu inamtaka mwanamke ampe ruhusa mumewe kuoa kisa ubize wa ukuu wa Wilaya. Asitake kutuchafulia dini yetu ya haki.
 
Da Mange ameshamwaga pilipili mtama huko. Eti Bi Zai anajimwaga na makada wenzake kukazia shughuli za Chama [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi hiyo Pepo ingenipita, maana huo moyo sina.
Hakika nawaambieni kweli nyie wanawake ni heri muwe wawili watatu ili msaidiane ulinzi na kumchosha mume wenu kuliko ukiwa peke yako. Utakuwa unajidanganya tu nafsi yako kuwa uko peke yako lakini hakuna mume wa peke yako duniani.
 
huyu dc mwenyeww kutwaaa instagram...kupost kupost kupost..show of nyiingi....ataachaje kusaidiwa...umri nao sa ingine kwa viongozi uwe kigezo..km huyu utoto haujamtoka...juzi tu kafanya photoshoot ya birthday[emoji36] [emoji36] [emoji36]

Hapo ndo nimechoka mie muda wa Insta mtu anautoa wapi.

Kwanza majukumu yananizidije hadi niache game, sielewi kabisa maana ingekuwa mimi inanilainisha vilivyo baada ya majukumu ya kila siku. Sikimbii ile kitu aisee hata nisaidiwe lakini haki yangu niipate. Baaas!!

Kuna mtasha amesema na ninanukuhuu ''A woman's heart is a deep sea of secrets''
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…