DC Pangani, Zainab Abdallah ana moyo wa pekee. Alimshauri mumewe kuongeza mke kutokana na yeye kuwa busy na majukumu

Huwezi jua,inawezekana amemrushu mumewe aoe tena ili yeye hata akiwa busy na mwingine jamaa hana time kufuatilia
 
Wengi huwa wanavunja wenyewe ila hii Zainab ni mhanga. Van hafai kwa mchuz wala kulumangia.

we mzigua ushawahi kuwa na uhusiano mr abdul? maana sio kwa povu hili, tena inaonekana povu la wivu ....inaonekana imekuuma sana kuliko hta mwenye mali hebu declare your interest kwa mr abdul ili tuweke mizani sawa
 
Hofu yangu ni upande wa pili wa shilingi. Yaani yeye pia anakosa huduma za msingi Kutoka kwa mume wake. Anafanyaje?
 
we mzigua ushawahi kuwa na uhusiano mr abdul? maana sio kwa povu hili, tena inaonekana povu la wivu ....inaonekana imekuuma sana kuliko hta mwenye mali hebu declare your interest kwa mr abdul ili tuweke mizani sawa
Hapana jamani sijawahi kuwa nae ila alichomfanyia Zainab na Aggy ndo kimeniumiza kama mwanamke. Huwezu kumchukua mtoto wa watu umbadilishe dini umbebeshe ujauzito halafu ufike miezi sita umwambie akatoe kwa sababu tu unataka kuongeza .ke mwingine wa tatu. Sio ubinadamu huo.
 
point yangu ni kwamba.. Mume akiona nimemruhusu kirahisi rahisi namna hiyo aniletee mwenzangu, itabidi ajiulize maswali mengi sana... mojawapo ni nani anayemsaidia yeye kutimiza majukumu yake kwangu, siku akiwa zamu kwa bi mdogo
Mwanaume mwenye akili atashtuka. Ila mjinga atakuona una dini kweli kumbe na wewe unamuweka mbali ujilie vizuri vitu vyako.
 
point yangu ni kwamba.. Mume akiona nimemruhusu kirahisi rahisi namna hiyo aniletee mwenzangu, itabidi ajiulize maswali mengi sana... mojawapo ni nani anayemsaidia yeye kutimiza majukumu yake kwangu, siku akiwa zamu kwa bi mdogo
Ukipata hamu unajiongezea mme ktk eneo lako la majukumu au utampigia simu mme akufuate huko huko?
 
Kama mtu habadili tabia anaendelea kupiga tu game nje ya uwanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…