DC wa Songea: Mtumishi wa Umma amejitambulisha kuwa yeye ndiye Mkuu wa Wilaya, akachukua Rushwa

DC wa Songea: Mtumishi wa Umma amejitambulisha kuwa yeye ndiye Mkuu wa Wilaya, akachukua Rushwa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
RUVUMA: Mkuu wa Wilaya, Kapenjama Ndile amesema uwepo wa mifugo mingi kupita kiasi umekuwa ukiathiri kilimo na kuathiri mazingira Wilayani hapo na kuwa hali hiyo inachangiwa na rushwa inayosababisha uingizwaji wa mifugo kinyemela

Ameeleza hali hiyo inatokana na kukithiri kwa Rushwa ambayo pia imesababisha ni uharibifu wa mazingira, akitoa mfano amesema kuna Mtumishi mmoja alitumia cheo cha Mkuu wa Wilaya kuchukua Rushwa


Chanzo: EATV
 
Back
Top Bottom