Ukiona Rais anakumbatia Wapumbavu basi na Wewe kama ni Great Thinker na umesoma vyema Philosophy utaelewa.Sijui ni Kwa maksudi au ndo ulivyo kifikra, unamuangua Rais wetu Samia aliyekuamini ona Sasa unamchonganisha na wananchi wake.
Juzi tu ulienda kukamata watu ukisingizia ni makahaba na umefunguliwa kesi mahakama kudaiwa billion 36.
Leo unawahangaisha machinga wenye maisha magumu ukitaka kukabidhi eneo lao Kwa waliofeli mwendo kasi DART.
Aibu imempata umefukuzwa kama mbwa Koko na machinga.
Rais Samia mtoe huyu jamaa kwenu UDC angalia kwenye Ghala lako tuletee kiongozi mwingine mwenye hekima
Hilo tatizo lipo ubungo na inawezekana kabisa hao waliokamatwa ni makahabaKwahiyo waliokamatwa siyo makahaba?, na Ubungo hakuna hilo tatizo?...
Hilo sehemu anayotaka kuwapa mweno kasi Kwa ajili ya karakana YaoAache ujinga ujinga wa kutaka sifa kwenye hamna.
Ndo maana tunahitaji Katiba na sio hii ya Sasa.
Watendqji Nchi nzima Tena vitengo nyeti hawatakiwi wateuliwe kisiasa,bali aombe kazi ili asiwepo wa kumpigia magoti ili kulinda cheo alichonacho.Hiyo itasaidia kufanya kazi Kwa weledi,bila kuogopa kutenguliwa๐๐๐๐๐๐
Akili mdogo mkuu,Hilo sehemu anayotaka kuwapa mweno kasi Kwa ajili ya karakana Yao
Hiyo mwendo kasi ishajifia.
Yaani machinga wafe njaa eneo lao uwape mwendo kasi isiyo na tija