DCR Mabingwa!!!!!

Ha ha ha hiyo wa Mujini kila nikiiona huwa nacheka sana maana inanikumbusha jamaa mmoja aliyekuwa anapenda sana kuitumia na alikuwa anaitamka hivyo hivyo 🙂
Hongera DRC.
 
Congratulations to Congo. You really played high quality soccer, and you deserve the championship. Congratulations
 
hongereni DRC.......
 

Attachments

  • Oii.jpg
    49.5 KB · Views: 88
Nzambe na ngai!yaani wacongo wamewini!Felicitation wazee wa le Roi du Zaire papa mobutu!
 
Hongereni sana DRC maana jana wamecheza kuliko Brasil wanajiamini sana na wamepiga ball sio la kitoto...vipaji wanavyo sana sana..ingawa nao walivyoingia tu CHAN wakawa wanaogopa Tanzania hahaha wangejua sisi wachezaji wetu bila bhangi hawachezi....
 
..ingawa nao walivyoingia tu CHAN wakawa wanaogopa Tanzania hahaha wangejua sisi wachezaji wetu bila bhangi hawachezi....

Sio kweli, unataka kusema wangevuta Bangi basi tungeonesha maajabu kule Ivory Coast. Hongera watoto wa Kabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…