De Gea Amekuwa na Msimu Mbaya sana Man Utd

De Gea Amekuwa na Msimu Mbaya sana Man Utd

kisokolokwinyo20

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
472
Reaction score
423
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa kipindi cha miaka mi5 De Gea amekuwa katika Kiwango cha Juu sana kiasi pasipo ubora wake Man Utd isingeweza kumaliza katika nafasi 6 za juu. Lakini msimu huu amekuwa katika kiwango cha kusuasua sana na kupelekea United kufungwa magoli mengi yanayotokana na makosa yake. #GGMU
 
De gea au timu? Unasemaje timu mbovu bila ya kumtaja na De Gea
 
Me ni arsenal fan,bt degea ni mtu bhana tuacheni mas'khara.huenda ubovu 4rom backline up to stricker ndo unamfanya ashindwe kupafom vzr.nadhani saikolojia pia ni tatizo kutokana na jinsi yeye anavyofight pale golini lakin wenzake wanamuangusha,huenda hii inamvunja moyo wa kuendelea kupambana.

Mawazo yangu lakin, kama nimekosea nirekebishwe.🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Kwani wamepoteza game ya Chelsea (naona hata uvivu kuangalia matokeo)
 
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa kipindi cha miaka mi5 De Gea amekuwa katika Kiwango cha Juu sana kiasi pasipo ubora wake Man Utd isingeweza kumaliza katika nafasi 6 za juu. Lakini msimu huu amekuwa katika kiwango cha kusuasua sana na kupelekea United kufungwa magoli mengi yanayotokana na makosa yake. #GGMU
Maneno ya Poul ndio umeyaleta huku
 
Kusema ukweli, David De Gea ametusaidia sana Manchester United kwa miaka mingi sasa, na ni moja ya Goalkeepers bora kabisa kuwahi kutokea Manchester United.

Sema mechi kama nne au tano hivi zilizopita anacheza chini ya kiwango, pamoja na kuwa Kikosi kizima hakiko vizuri.

Tumeshazoea kumuona akiwa katika ubora wake hata kama wenzake hawako vizuri. Ndio maana tunashangaa.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa kipindi cha miaka mi5 De Gea amekuwa katika Kiwango cha Juu sana kiasi pasipo ubora wake Man Utd isingeweza kumaliza katika nafasi 6 za juu. Lakini msimu huu amekuwa katika kiwango cha kusuasua sana na kupelekea United kufungwa magoli mengi yanayotokana na makosa yake. #GGMU
De Gea hasn't been the same since the World Cup. Ronaldo really gave him PTSD
 
Safu ya ulinzi pia haiko vizuri! Then kocha ampe muda wa kupumzika kidogo mbona yule kipa mwingine naye yupo vema tu!
 
Kusema ukweli, David De Gea ametusaidia sana Manchester United kwa miaka mingi sasa, na ni moja ya Goalkeepers bora kabisa kuwahi kutokea Manchester United.
Sema mechi kama nne au tano hivi zilizopita anacheza chini ya kiwango, pamoja na kuwa Kikosi kizima hakiko vizuri.
Tumeshazoea kumuona akiwa katika ubora wake hata kama wenzake hawako vizuri. Ndio maana tunashangaa.
Na hii ndio tabu ya DE GEA kucheza kiwango cha juu Karibu kila mechi.
Huwezi kusikia A.YOUNG anaandaliwa POST humu.
Gea the best bhana , game 3+ zisifanye tumtukane kama hatumjui bhana
 
Ni kweli kashuka sana kiwango, De gea anataka kuongezwa hela na tena hela nyingi....
Kingine De gea anatakiwa na PSG hivyo akili yake inashindwa kutulia, ingekua enzi za fergie angeitwa na kuulizwa una tatizo gani? Mechi inayofuata De gea angekua man of the match
 
Dah asee, saikolojia yake haiko sawa
Ni kweli kashuka sana kiwango, De gea anataka kuongezwa hela na tena hela nyingi....
Kingine De gea anatakiwa na PSG hivyo akili yake inashindwa kutulia, ingekua enzi za fergie angeitwa na kuulizwa una tatizo gani? Mechi inayofuata De gea angekua man of the match
 
Back
Top Bottom