De La Boss Haji Manara-Star Mkubwa kuwahi kutokea katika soka

Eti huyu ndio manara jr enzi zilee?
 
ofkozi nikawaida yetu yanga kuwanoa madogo kama kina manara na morrison then tunawapea huko simba bure kabisa ili mjitaidi angalau na ninyi katim kenu simba walau kaonekanemo kamo.
Sisi Yanga ndo timu ya taifa lazma tutoe misaada kwa tim ka Simba.
 
Jamaa Tz haijawahi kuwa na mwanamichezo maarufu ktk soka was kufikia viwango vya edibil Jonas lunyamila
 
Anachonikosha, ni namna anavyojua kucheza na emotions za [emoji250] fc

Wakati elimu yake ya juu kuhitimu darasa la 7 B [emoji23][emoji23]



Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi hatumii hiyo aka ya de la boss....mwenyewe anajiita bughatti...biashara ya perfume za de la boss ilikufaga kifo cha mende...walitaka kumpiga akashituka..yule mtoto wa kariakoo mjanja sana kudadadeki zake!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…