Dead stowaway falls off KQ flight from Nairobi to London

Dead stowaway falls off KQ flight from Nairobi to London

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
July 1, 2019
London, UK
Kenya Airways plane


PLANE HORROR: The body of a stowaway fell from a Kenya Airways plane.

The body of a male stowaway Sunday fell off a Kenya Airways plane moments before it landed at London’s Heathrow Airport.
The KQ Flight 100 was travelling from Nairobi to London.
According to a statement released by KQ on Monday, London’s Metropolitan Police informed the airline that a body had fallen off the plane’s landing gear moments before landing.
“On June 30th at approximately 1541hours (UK time), a body of a yet to be identified male stowaway landed in a garden in the Borough of Lambeth, South London, suggesting that the stowaway was hidden in the undercarriage of the aircraft. The owner called the police who tracked the flight radar to KQ Flight 100,” said the statement.
NO IDENTIFICATION
Following the discovery of the body, which had no identification, the aircraft was inspected and a bag with food and clothes was discovered at the rear left landing gear.
Source : https://www.nation.co.ke/news/Dead-...ane-in-London/1056-5179106-clj85jz/index.html

More info :

A ground operations coordinator at Chicago's O'Hare International Airport previously told CNN how it is not difficult for stowaways to hitch rides on planes, should they get past security.

“It's not difficult to climb inside a wheel well,” Jose Guillen said.

"You can grab onto the struts and landing gear assembly kind of like a ladder.

And you just jump on the tire and climb into the wheel well."

But after takeoff, he warned many scenarios could kill a stowaway hiding in the landing gear wheel well.

“Inside, there's not much room -- even less than in the trunk of a car,” he said.

"A stowaway would need to guess where the tire is going to fold in when it closes after takeoff. Otherwise, there's a high risk of getting crushed once the gear starts going in."
 
RIP , this is very sad ..sisi waafrika sijui tunawaza nini?
 
The message ni kwamba terrorist are still having opportunities to do something on planes bound to high stake countries
 
Aisee kuna watu wanajitoa ufahamu
 
Njaa inasababisha wakenya kufanya lolote ili kutoroka
Nilijua tu utazuka na mambo ya njaa. Wengine wetu tunashiba hata kuwashinda. Wakati ninyi mnakula ugali kwa sukuma, sisi tunajistarehesha kwa chapati kwa kuku aliyepakwa na kuchomwa.
The message ni kwamba terrorist are still having opportunities to do something on planes bound to high stake countries
By the way, Kama ni bomb ingeanguka badala ya dead body ingekuwa balaa
 
Nilijua tu utazuka na mambo ya njaa. Wengine wetu tunashiba hata kuwashinda. Wakati ninyi mnakula ugali kwa sukuma, sisi tunajistarehesha kwa chapati kwa kuku aliyepakwa na kuchomwa.

By the way, Kama ni bomb ingeanguka badala ya dead body ingekuwa balaa
Tukisema Marekani ni nchi tajiri, haina maana hakuna watu masikini, ila idadi ya watu masikini ni ndogo. Kenya tukisema kuna njaa, haina maana hakuna watu wanaokula na kushiba, ila idadi yao ni ndogo ukilinganisha na wenye njaa.
 
Tukisema Marekani ni nchi tajiri, haina maana hakuna watu masikini, ila idadi ya watu masikini ni ndogo. Kenya tukisema kuna njaa, haina maana hakuna watu wanaokula na kushiba, ila idadi yao ni ndogo ukilinganisha na wenye njaa.
Wewe huwa mwerevu. Ungekuwa Kenya au nchi za ulaya ungekuwa successful sana, lakini bahati mbaya ulizaliwa T.Z
 
Tukisema Marekani ni nchi tajiri, haina maana hakuna watu masikini, ila idadi ya watu masikini ni ndogo. Kenya tukisema kuna njaa, haina maana hakuna watu wanaokula na kushiba, ila idadi yao ni ndogo ukilinganisha na wenye njaa.
Bado hujapost hii, kumbe hadi uko South Africa ATCL haikukaribishwa vizuri? Watanzania walifukuzwa kama mende uko OT airport.

 
Wewe huwa mwerevu. Ungekuwa Kenya au nchi za ulaya ungekuwa successful sana, lakini bahati mbaya ulizaliwa T.Z
Katika nchi ambazo ukizaliwa unaanzia "Negative" ni Kenya. Tatizo kubwa la wakenya linalowafanya muwe na hali ngumu ya maisha ni " Hyper inflated ego", mnapenda sana kuishi maisha ya kufikirika, tabia hii inawakosesha fursa ya kupata muda WA kufikiria vikwazo vinavyokabili maisha yako halisi, badala yake muda mwingi mnautumia kutafuta ufumbumbuzi wa matatizo ya matajiri wakati bado shida za msingi hujazimaliza, kwa mtindo huo wa maisha, kamwe hamtoweza kupiga hatua.
 
Katika nchi ambazo ukizaliwa unaanzia "Negative" ni Kenya. Tatizo kubwa la wakenya linalowafanya muwe na hali ngumu ya maisha ni " Hyper inflated ego", mnapenda sana kuishi maisha ya kufikirika, tabia hii inawakosesha fursa ya kupata muda WA kufikiria vikwazo vinavyokabili maisha yako halisi, badala yake muda mwingi mnautumia kutafuta ufumbumbuzi wa matatizo ya matajiri wakati bado shida za msingi hujazimaliza, kwa mtindo huo wa maisha, kamwe hamtoweza kupiga hatua.
tumekuskiza.
 
Katika nchi ambazo ukizaliwa unaanzia "Negative" ni Kenya. Tatizo kubwa la wakenya linalowafanya muwe na hali ngumu ya maisha ni " Hyper inflated ego", mnapenda sana kuishi maisha ya kufikirika, tabia hii inawakosesha fursa ya kupata muda WA kufikiria vikwazo vinavyokabili maisha yako halisi, badala yake muda mwingi mnautumia kutafuta ufumbumbuzi wa matatizo ya matajiri wakati bado shida za msingi hujazimaliza, kwa mtindo huo wa maisha, kamwe hamtoweza kupiga hatua.
Mbona hujajibu swali?😭😭😭 Mliowakomboa wamewafukuza Kama burukenge

 
Back
Top Bottom