Dead stowaway falls off KQ flight from Nairobi to London

Magufuli ameamua kualika Uhuru, ameona kama haezishindana naye.
Magufuli yupo darasani, kuna jambo limemshinda kuelewa akainua mkono juu , mwalimu wake (Uhuru) , akasonga karibu ili amsaidie Mwanafunzi huyo mpumbavu
 
Waafrika gani sema Wakenya ambao wanajidai hapa kila siku kuwa mambo yao safi. Nyang'au bana, kelele tu.
Mambo yetu safi , hadi Jana Magufuli aliomba uraia wa Kenya na cheo cha Uchifu ama Mzee wa kijiji tukamkataa, ni mshamba tu kama Wabongo wote, ...nashangaa mbona mnajiita wabongo na ubongo hamna
 
Hey Joto, mbona unanilenga? Si huwa mnajigamba hapa venye mmependwa South Africa, mbona tena mnafukuzwa huko?
Kuna discussion zingine hazina maana kuzijadili bora kuziacha zipite, kumbuka hapa JF tupo watu tofauti katika uwezo wa akili, ukihisi kwamba hilo swali halina maana, bora kuachana nalo ili usubiri wenye kuzungumza vitu vya maana.
 
Huku hatukuli wali baba, chakula chetu ni Sima , Mihogo ,Njugu na wanawake wenu, wali chakula cha wagonjwa kaka
Kwahiyo huo mchele ambao mnaomba tuwaletee ni kwa ajili ya matajiri wazungu na wageni wa UN?
 
Ingekuwa KQ I know ingekuwa ni swali la maana but just because ni ATCL then all over sudden the question is not important. Bure kabisa, Tanzania will never be loved by any nation.
Kuna discussion zingine hazina maana kuzijadili bora kuziacha zipite, kumbuka hapa JF tupo watu tofauti katika uwezo wa akili, ukihisi kwamba hilo swali halina maana, bora kuachana nalo ili usubiri wenye kuzungumza vitu vya maana.
 
Thinking capacity ya huyo fupi sana fanya kumuignore tu
Kuna discussion zingine hazina maana kuzijadili bora kuziacha zipite, kumbuka hapa JF tupo watu tofauti katika uwezo wa akili, ukihisi kwamba hilo swali halina maana, bora kuachana nalo ili usubiri wenye kuzungumza vitu vya maana.
 
Ingekuwa KQ I know ingekuwa ni swali la maana but just because ni ATCL then all over sudden the question is not important. Bure kabisa, Tanzania will never be loved by any nation.
Tatizo ninyi wakenya uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo sana, inafikia wakati tunachoka kujibizana na ninyi, ni sawa na mtoto mdogo anashika kidole chako na anakuuliza, " eti baba hiki ni nini?".

Kabla hujauliza swali ulipaswa ujiridhisha na kufahamu nini hicho inachouliza, sasa kama hata hujui chochote kuhusu jambo lenyewe, unawezaje kuuliza maswali ya kitoto kiasi hicho?.

Kama utafuatilia katika mitandao hili jambo limeelezwa kwa undani sana kitu gani kilitokea, ninyi kwa uwezo wenu mdogo wa akili mlionao, mnataka kutuingiza katika mjadala wa kitoto usiokuwa na maana yoyote. Hivi ni mtu gani mwenye akili timamu anayeweza kufikiria kwamba shirika la ndege linaloanzisha "new route" linaweza kufukuzwa?, acheni utoto huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…