Yanga ebu kueni bhc simba kwenye usajili huu kajitahidi nyie kila kitu ligi tu mbona nyie mmeliwa m5 na kiungo wa mbao na akaenda kusaini Azam ila hatusemi.Safari hii jangwani hali tete hadi mnaunda kamati ya kumwangukia manji unafikiri mchezo.Mtamsajili nani ndani sasa kama majembe mengi mnayakosa?Semeni ukweli msijipe moyo kua mnasajili kimya kimya eti kisayansi hata simba tilipitia hali ngumu na tukajifanya wazee wa kimya kimya matokeo yake nadhani wengi mnajua. Tue wakweli tu jangwani hali mbayaaa