Deal Done:Aishi Manila asaini miaka miwili Simba SC

wafanye tu usajili ila wasimuache Bokungu kwa sababu ya majungu. ameonyesha uwezo mkubwa sana beki ya pembeni na ya kati pale ambao mabeki wa kati walipokuwa majeruhi au na kadi.
 
Yanga ebu kueni bhc simba kwenye usajili huu kajitahidi nyie kila kitu ligi tu mbona nyie mmeliwa m5 na kiungo wa mbao na akaenda kusaini Azam ila hatusemi.Safari hii jangwani hali tete hadi mnaunda kamati ya kumwangukia manji unafikiri mchezo.Mtamsajili nani ndani sasa kama majembe mengi mnayakosa?Semeni ukweli msijipe moyo kua mnasajili kimya kimya eti kisayansi hata simba tilipitia hali ngumu na tukajifanya wazee wa kimya kimya matokeo yake nadhani wengi mnajua. Tue wakweli tu jangwani hali mbayaaa
 
Yanga bila Manji unaweza kuiweka mfuko wa shati kama fegi
 
wafanye tu usajili ila wasimuache Bokungu kwa sababu ya majungu. ameonyesha uwezo mkubwa sana beki ya pembeni na ya kati pale ambao mabeki wa kati walipokuwa majeruhi au na kadi.
Tutafanya kosa kubwa sana tukimuacha Bukungu.
 
Hahaahah Nawaona tu ndala mnajiserf na wachezaji.
 
Karibu sana Manula katika "nyumba ya makombe". Tuna imani kubwa nawe.
Acha kujitia aibu wewe. Hata Manara na wazimu wake hawezi kusema Simba Koko ni nyumba ya makombe. Labda kama unazungumzia 'kombe' la ushirikina la kusomea albadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…