Deal jipya kwa mahakama za kibongo na RITA

Inkoskaz

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
6,361
Reaction score
2,378
Affidavit..Hati ya kiapo
nipo mahakamani kuhakikisha napata hati yang ya kiapo kuonyesha nimezaliwa mwezii wa 7 mwaka 1957!!
nikitoka hapa nikachukue chet changu RITA.
Tusiulizane how i look like or why this..kwani nyinyi ushahidi muutakao si vielelezo vyangu?

Kesho najaza form za claim...full stop!!
 
Mafao yanatolewa kwa kutimiza miaka 55 ya kufanya kazi na sio miaka ya kuzaliwa.
 
kama wewe unajua sio miaka yako unaapa uongo na unastahili kifungo
kaka jambazi acha porojo ni miaka ya kuzaliwa na sio ya kazi
 
Unaapa uwongo aise
Hapo deal wanasheria wamepata deal la kutengeneza affidavit za kuwarukisha watu miaka
Inatakiwa kuonekana tuu nimefikisha miaka hamsini na tano hata kama naonekana nina miaka ishirini vile
 
We can not solve the probleam of this country kwa kutoa vitambulisho vya uraia, kuna mambo mengi sana ya msingi kama kununua x-ray machine kwa vituo vya afya kwa hilo fungu la vitambulisho...binafsi naona ni ulaji mwingine kwa wakubwa...
 
mie nimeamua nife halafu next of kin akadai Macao yangu(si nnakufa kiuongoongo Halafu naenda kuchukua death certificate basi)
 
hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.............

nakutakia mafao mema ya nssf/ppf..............

mwezi ujao na mie naenda kuapa wallahiiiii
 
kama wewe unajua sio miaka yako unaapa uongo na unastahili kifungo
kaka jambazi acha porojo ni miaka ya kuzaliwa na sio ya kazi
Lokisa hii sheria bila miongozo kwa umma ni shida kueleweka
 
Unaapa uwongo aise
Hapo deal wanasheria wamepata deal la kutengeneza affidavit za kuwarukisha watu miaka
Inatakiwa kuonekana tuu nimefikisha miaka hamsini na tano hata kama naonekana nina miaka ishirini vile
Kama Lulu anaweza kupandisha umri aau kushusha wakati wowote kulingana na shida aliyonayo na kwa msaada wa wanasheria au loopholes zilizopo kwenye mamlaka zetu why not me!
 
tusubiri regulations
na hata hivo regulations haiwezi kwenda kinyume na Act yenyewe ni nyongeza tu au maelekezo
wabunge walishachemka na isitoshe wao wanapokea mafao yao wakimaliza kwao sio shida.
naamini sasa bunge letu limejaa vilaza bora tungeweka machinga mjengoni wangebuni maisha mapya kuliko hao waliopo

wa
Lokisa hii sheria bila miongozo kwa umma ni shida kueleweka
 
We can not solve the probleam of this country kwa kutoa vitambulisho vya uraia, kuna mambo mengi sana ya msingi kama kununua x-ray machine kwa vituo vya afya kwa hilo fungu la vitambulisho...binafsi naona ni ulaji mwingine kwa wakubwa...
vitmbulisho vyenyewe wangekuwa wanpewa wabongo kweli lakini wanapewa migrants kibao...hizo travelling passport kwa mtz ni issue kuwa nayo
vitambulisho vya kura tu ni tatizo pia...watu kibao wamenyimwa au wanavyo lakini wananyimwa kupiga kura...improper records matching.refer issue ya Mbatia kule Kawe
kila siku kuna watu wanturn 18, kuna wanaokufa,kuna wanaohama vituo vya kazi,shule,biashara,kufuata family nk
hivyo daftari la moiga kuraMUST BE A 24/7 HOUR OFFICE Open to people to register and update informations
 
mie nimeamua nife halafu next of kin akadai Macao yangu(si nnakufa kiuongoongo Halafu naenda kuchukua death certificate basi)
Mbona tutajiua wengi mwaka huu
 
hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.............

nakutakia mafao mema ya nssf/ppf..............

mwezi ujao na mie naenda kuapa wallahiiiii
Wahi mkuu kabla affidavit hazijapanda bei
 
Huyu mkuu nadhani ana uwezo wa kuishi miaka 150

Ama kwa hakika, kama ingekuwa hivyo sijui ingekuwaje?!! Ufanye kazi miaka 55, yaani watu wangeingia na machela kwenye vikao vya bodi kama kina Kingunge.
 
Ama kwa hakika, kama ingekuwa hivyo sijui ingekuwaje?!! Ufanye kazi miaka 55, yaani watu wangeingia na machela kwenye vikao vya bodi kama kina Kingunge.
well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…