Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Wakuu,
Kuna tangazo mtakuwa mshaliona kwa juu... Wateja wa Zain mtakapoongeza salio tarehe 15 Novemba (Jumatatu) kuanzia sh. 500/= na kuendelea utajipatia 20% ya ziada siku hiyo tu.
Kwakuwa ni offer ya siku moja tumeonelea ni vema tuwafahamishe mapema ili nanyi msambaze ujumbe kwa Zain Clients.
Maswali mengine SIWEZI KUYAJIBU! ha ha ha
Kuna tangazo mtakuwa mshaliona kwa juu... Wateja wa Zain mtakapoongeza salio tarehe 15 Novemba (Jumatatu) kuanzia sh. 500/= na kuendelea utajipatia 20% ya ziada siku hiyo tu.
Kwakuwa ni offer ya siku moja tumeonelea ni vema tuwafahamishe mapema ili nanyi msambaze ujumbe kwa Zain Clients.
Maswali mengine SIWEZI KUYAJIBU! ha ha ha