Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..

Walimponda kwenye vidio sasa anawaaumbua bado hawaishiwi maneno mdimoni. Wivu mwingine bana
 
Its not a global deal! Trust me.. its just a "publicity stunt" kuitangaza hivyo but the deal is not global
Global or not, publicity stunt or not, dude u seem 2 av a crash wt King Kiba. Were it ua god Plutinum who had done 30, u wud av kam here wt all sort of word of merits abt th deal. Well poor u.
He m8 b a game changer if wat ur saying s true. Rem Kiba was on a sabbatical leave for 2 yrs & he came back wt a bang!
 
He was neva on a leave!! zile alizotoa na Abdul sijui kidera n.k hazikuwa nyimbo??! You guys nid to stop with this lie alafu sijui mnamdanyanya nani zaidi naona mnamjaza ujinga tu kingi wetu
 
We jamaa niliposoma thread yako nikaona wa maana but kadiri unavoendelea ku comment unajiingiza kwenye upuuzi wa ma team.
 
Rose Muhando si amewahi kuwa chini ya hawa jamaa na ndiyo ukawa mwanzo wa mwisho wake!!
 
We jamaa niliposoma thread yako nikaona wa maana but kadiri unavoendelea ku comment unajiingiza kwenye upuuzi wa ma team.
Kuwa shabiki wa Yanga hakukuondolei sifa ya kutoa positive criticism kwa Simba au kufanya analysis ili nao labda wajifunze kitu fulani kiwasaidie msimu ujao..

My point; kila mtu ana favorite wake katika kila jambo (na mimi pia ni mtu na nina favorite wangu) but haimaanishi kuwa siwezi kutoa ushauri kwa yule ambaye nampenda kawaida coz huwezi kujua ushauri huo utawasaidia wangapi
 
Nadhani hukunielewa ila nilimaanisha kuwa ungesimamia mada yako tu na si kutoka nje ya mada na kubishania mambo mengine
 
Sio tu kwamba amewahi kuwa chini yao, bali bado wana mkataba nae!
Hili deal halina cha msingi sana zaidi ya jina tu Sony. In time watu na Kiba mwenyewe ataelewa kwamba kaingia mkenge.

Ushauri wangu wa dhati kwa Kiba; Kiba ni muimbaji na mtunzi mzuri ila nyimbo zake zina mahadhi ya kikwetu zaidi, kiswahili zaidi. Akijua hilo na kujaribu kukuza soko lake locally na kunyonya kila cent ndani ya East Africa atafika mbali kuliko kujaribu kushindana kimataifa.
 
Nadhani hukunielewa ila nilimaanisha kuwa ungesimamia mada yako tu na si kutoka nje ya mada na kubishania mambo mengine
Nimekuekewa mkuu! Ila kuna watu ilinibidi tu niwajibu maana ni washindani wangu wa jadi humu jukwaani.. There was no way I was going to let them get away with their lies
 





rose muhando usimsahau mkuu
 
Kuna ubaya gani nikimpongeza au Nina ugomvi nae gani??? Na kuna ubaya gani nikitoa angalizo ambalo labda linaweza kumsaidia msanii mwingine??? Ubaya unao uona wewe uko wapi???
Mjinga wewe, wewe una nini cha maana ulichofanya mpaka sasa bwegge kabisa.
 
you got the point and serious,sio kwamba unafahamu mziki tu bali the whole music industry africa mpaka nje.

kampuni za kimarekani au corrabo za kimarekani sio za kupapatikia!
 
you got the point and serious,sio kwamba unafahamu mziki tu bali the whole music industry africa mpaka nje.

kampuni za kimarekani au corrabo za kimarekani sio za kupapatikia!
Ila apapatikie kampuni za kichina na corrabo za kichina? Hopeless kabisa.
 
Kama ninakumbuka vema nikuwa hata msani wa injili Rose Mhando alisaini na Sony, ila sijui deal iliishia wapi kwa anayejua atufahamishe na hili ili tujue kama Rose alifanikiwaje
 
Tuache unafki, management ya kiba na kiba mwenyewe sahivi wamekua serious na mambo yao, na mabadiliko yanaonekana wazi. Hata mziki anaofanya kiba siku hizi ni mziki flan amazing sana. Binafsi naamini kiba na management yake wanajua wanachofanya kuliko mtoa mada ujuavyo, sidhani kama wamekurupuka katika hilo. Hongera kwa kiba, he deserve it. Sikua mshabiki wake kihivyo, ila kiukweli jamaa mziki anaujua na akiendelea kua serious kama alivyo sasa ni wazi atafika mbali mno. #AJE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…