Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..



Kweli mkuu member humu walilipeleka ki team zaid sasa wataona huo mfano kwa davido
 
Eeh wiz kid nae alitaka ku sign sony last week naona yeye na meneja wake sunday km wamesita kwanza sijui washastuka au mazugumzo yanaendelea
 
Eeh wiz kid nae alitaka ku sign sony last week naona yeye na meneja wake sunday km wamesita kwanza sijui washastuka au mazugumzo yanaendelea
Uuuuuuuwiii eeeehh Mungu eka mkono hilo tukio lisitokee kabisaaaa. Wizkid bado tunakupenda [emoji22] [emoji120] [emoji120]
 
vilio vimeshanza,ila huyu wetu atalilia ndani ili hasionekane chizi maana watu walisha mtaadharisha mapema.
Word!
Umenena mpwa, huyu wa kwetu atakufa kijerumani na tai shingoni..
 
Eeh wiz kid nae alitaka ku sign sony last week naona yeye na meneja wake sunday km wamesita kwanza sijui washastuka au mazugumzo yanaendelea

Uuuuuuuwiii eeeehh Mungu eka mkono hilo tukio lisitokee kabisaaaa. Wizkid bado tunakupenda [emoji22] [emoji120] [emoji120]
Mwenyezi Mungu aepushilie mbali.!! Bado tunakihitaji hiki kichwa.. Nitaumia sana kikipotea..
 
UNABII WA JF watimia kama ilivyo kawaida.....mwaka na nusu kimyaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…