Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..

No body knows.[emoji301]
 
Naona watu mapovu yanawatoka tuu hamjui hata mnachobishania, kwanza mjiulize soko la muziki wake Ni kina nani?? Sidhani kama Ni zaidi ya east Africa na nchi za jirani, hata akisema akaperform SA Ni kwa wabongo wanaoishi kule si kwa sababu wasauzi wanataka kumuona. Hivyo hawa Sony hakuna jipya watakalomsaidia Kiba kwani kwa jinsi masoko ya muziki wa bongofleva yalivyo hawawezi kumwongea chochote zaidi ya ambacho tayari anacho.
Juzi mlimsikia mmojawao akisema masela hawanunui CDs wao Ni ushabiki tuu, Sony wanategemea hela kutoka kwny mauzo lakini ukweli ni kuwa wasanii wanaishi kwa shows na sio mauzo ya muziki kwa sababu watu hawanunui hizo album
 
Umesahau kwamba Keko wa Uganda na Redsan wa Kenya walisign mkataba. Tofauti na matararajio yako, nyimbo zao zinauza sana ulaya na marekani kuliko Africa!
 
Hongera, wewe ni zaidi ya manyaunyau! Mpaka mshahara wangu unaujua..!!?

Alafu hatuongelei mishahara hapa, nimejaribu tu kupoint out mistakes ambazo naziona zinajirudia kwa wasanii wetu! Kama uko too blinded to see hiyo juu yako..
Wewe huna lolote wivu tu unakusumbua yeye hata kama akisaini uo mkataba na asipate chochote Yale n maisha yake na management yake nzima ilipokaa na kuona kuna faida flani wataipata Mara watu wanasema Mara nini yaaan binadam sisi ukikaa kuendekeza maneno uwez kufanikiwa cjui tukoje
 
all the best kiba yetu macho tunasubiri kuonana hilo deal na hao sony litakutangaza vipi na kukupa maendeleo zaidi ya kazi zako zaidi ya hapo ulipo
 
Mkuu ingeruhusiwa kutoa like nyingi ningekupa zote umenena jambo zuli sana
 
Kuna ubaya gani nikimpongeza au Nina ugomvi nae gani??? Na kuna ubaya gani nikitoa angalizo ambalo labda linaweza kumsaidia msanii mwingine??? Ubaya unao uona wewe uko wapi???
Mkuu hicho ulichoeleza kiko juu ya uwezo wake, sio rahisi akakuelewa. Otherwise umetoa angalizo zuri kwa ajili ya wengine kujifunza.
 
Kuna ubaya gani nikimpongeza au Nina ugomvi nae gani??? Na kuna ubaya gani nikitoa angalizo ambalo labda linaweza kumsaidia msanii mwingine??? Ubaya unao uona wewe uko wapi???
Mkuu hicho ulichoeleza kiko juu ya uwezo wake, sio rahisi akakuelewa. Otherwise umetoa angalizo zuri kwa ajili ya wengine kujifunza.
 
Asante mkuu kwa kumuelewesha bold
 
Yani kuna watu wanaelezwa vitu vya maana na wanavyojibu pumba nikisoma comments zao nacheka tuu watu wanamahaba hadi hawataki mtu fulani akosolewe
 
Pale mbongo anapoleta ujuaji hata kwa vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wake..acha kukariri ungeishia kumpongeza tu wala usingepungukiwa chochote ila umezunguka wewe ukikebehi kwa dili alilosaini afu unamalizia kwa kusema unampongeza si unafiki huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…