Dear alcohol

mh! that watch utaona mpaka vya gizani,but worry not swithat,only u!

Thats my girlie:hippie::hippie::hippie::hippie:....Roya na Kimey usiwasikilize. Watu wabaya sana wale.
 
Thats my girlie:hippie::hippie::hippie::hippie:....Roya na Kimey usiwasikilize. Watu wabaya sana wale.

sawa love,vipi wakiniita kunipa ujumbe wako?maana wakati mwingine nitaplay part ya secreatary sas itakuwaje hapo?
 
Thats my girlie:hippie::hippie::hippie::hippie:....Roya na Kimey usiwasikilize. Watu wabaya sana wale.

She old enough to know that you are no longer a communist...
 
sawa love,vipi wakiniita kunipa ujumbe wako?maana wakati mwingine nitaplay part ya secreatary sas itakuwaje hapo?

Hiyo ni ruksa hauna haja ya kuanza kumuomba Asprin
 
Tafadhali no!toa kijiti sasa waachie wenzio waendelee na mbio,,,lkn naona kama vile wanaogopa!

Nimeishasema sitaki kumuona mtu kwa Mama B otherwise watu wataanza kuchezea BAN.
 
Nimeishasema sitaki kumuona mtu kwa Mama B otherwise watu wataanza kuchezea BAN.

Mbona sheria yenu no 3 inaruhusu?una udikteta ungekuwa chair mbona chama lingevunjika kila mtu awe na lake,ila ingesaidia plan b

Kumbuka pia kuhusu afya yako na ratiba za mama big
 
Mbona sheria yenu no 3 inaruhusu?una udikteta ungekuwa chair mbona chama lingevunjika kila mtu awe na lake,ila ingesaidia plan b

Kumbuka pia kuhusu afya yako na ratiba za mama big

Kwa sasa ile Sheria inanihusu mimi na Mama B tu and not the other way around, kuhusu afya ninampa soseji na mayai mawili kila siku
 
Kwa sasa ile Sheria inanihusu mimi na Mama B tu and not the other way around, kuhusu afya ninampa soseji na mayai mawili kila siku

Na hizo sausage mpaka apanue mdomo kwa kila cku mbona tutakupoteza kwa tamaa zako!na hilo ulilolisema hapo mwenyekiti wako analijua?ndo maana wenzio wanalalamika but will bring good impact to the other side
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…