Dear board....

Sabry001

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,064
Reaction score
354
Salam zangu ziwafikie, mimi mpaka leo cjapata vile vijisent vya kujikimu. Mtoto wa kimaskini mimi mwataka nife? Ofisi ya mkopo hapa chuo wanadai hujawatumia pesa zangu ni kweli? Nakuomba ule utaratibu wa zamani kwamba unanidepositia boom wewe urudi la sivyo mtakuja tuua sie! Najua umejua naungua jua na njaa yataka niua....harakisha nsije kufa kwa njaa...si unajua njaa haina jasiri? Akhsante!
 
Uko chuo gani wewe,wenzio 2shapgwa bumu la pili huku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…