Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Aiseeh hii ngumu kumesa.Aliaga kaenda kwa mama yake sasa sjui yuko kwa wap ila home hayupo
haaa! kwani we unamiaka 12..?nisemeje kwani?
Khaa nani kakufundisha unywanywa?Cc Bonny [emoji126][emoji126][emoji126]
Sijatimiza badohaaa! kwani we unamiaka 12..?
Haha huu mwandiko wangu kabisaAiseeh hii ngumu kumesa.
Na usikute mama yake ndiye anatumia account yake. Huu mwandiko sio wa Heaven Sent ni wa shemeji yangu espy.
Bado nazidi kuamini shemeji ka hack account ya dota wake.Khaa nani kakufundisha unywanywa?
Nilikuwa kanisaniKwani hizi meseji anazoandika yupo nyumbani au kahama?
Aliaga kaenda kwa mama yake sasa sjui yuko kwa wap ila home hayupo
[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Bado nazidi kuamini shemeji ka hack account ya dota wake.
Ndio nin hcho unywanywaKhaa nani kakufundisha unywanywa?
Ha h ha ha kwa gwajima possiblyNilikuwa kanisani
haya namekupenda ghafla uwe mdogo,mkubwa,mwanafunzi,mwalimu mi sijui unajua moyo unaosukuma damu na mengine!Sijatimiza bado
Ubuyu wa zenjiNdio nin hcho unywanywa
Hahhaa hapana Sijaenda kwa mzee wa call me JHa h ha ha kwa gwajima possibly
Duh mkwe ananiharbia mtotoUbuyu wa zenji
Mmh hapana jamaniDuh mkwe ananiharbia mtoto
Next Sunday tutaenda woteHahhaa hapana Sijaenda kwa mzee wa call me J
Amen, tuombe uzimaNext Sunday tutaenda wote