Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Ingekuwa ni espy angeshaomba hela
Haya Let's wait and seeAkija ujue heaven analog out
Hahaha mkweo hafai kuigwa kwa lolote labda kwa kuzaa chema tuAkija ujue heaven analog out
Nusu saa ishapita mbonaHahaa... siku hizi anatoa kanusuu saa ka kujipanga. [emoji16][emoji16]
Shetani akizeeka anakuwa malaika
Mich yeew too darlin mommaMith you dota.
Mich yeew too darlin momma
Yani nipo humu humu kabisaa, sijui magazeti yameenda wapi jamani. Ndo najitahidi kurudipo hiviSiku hizi unajificha wapi? Nakumiss sana ujue.
Nimeyamiss magazeti kwakweli, sijui ndio uzee maana chaaaaah!!Yani nipo humu humu kabisaa, sijui magazeti yameenda wapi jamani. Ndo najitahidi kurudipo hivi
Yani lately nimekuwa mvivu kuandika, hata outside jf. Ngoja nianze kukumbushia kwa kumuandikia mkweo barua zenye mkuki moyoniNimeyamiss magazeti kwakweli, sijui ndio uzee maana chaaaaah!!
Tena humo umchambe aache uongo. Na marufuku kutoa ahadi zisizotekelezeka tena.Yani lately nimekuwa mvivu kuandika, hata outside jf. Ngoja nianze kukumbushia kwa kumuandikia mkweo barua zenye mkuki moyoni
Wewe unamuongelea yule mwanasiasa mzee wa promisless?Tena humo umchambe aache uongo. Na marufuku kutoa ahadi zisizotekelezeka tena.
Kumbe we wamuoelea nani? Usiniambie nina mkwe mpya!!!!Wewe unamuongelea yule mwanasiasa mzee wa promisless?
Khaaa em tulia uletewe kitu amazingKumbe we wamuoelea nani? Usiniambie nina mkwe mpya!!!!
Mambo si ndio hayo sasa,maana kuniletea wachimba chumvi tu ulizidi. Kwakweli acha tu nitulie[emoji12] [emoji12]Khaaa em tulia uletewe kitu amazing
Haha andaa parking, tupo njianiMambo si ndio hayo sasa,maana kuniletea wachimba chumvi tu ulizidi. Kwakweli acha tu nitulie[emoji12] [emoji12]
Wacha we!! Sasa hivi siandai hadi nione matokeo maana nishachoka.Haha andaa parking, tupo njiani