Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
- Thread starter
-
- #41
Klorokwin unanitafuta ubaya wewe ...klorokwin unaniharibia swaumu yangu ati.......
hehehe kuna sredi nyengine ya malaika, Magulumangu kaanzisha kule global publisher, kataja mpaka jina. nenda ukajionee mwenyewe
hehehehehehe haya bana ..........?
halaf hii " kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji:majani7:" umeiwekea hati miliki?, Mzee Yussuf akiiona nina hakika ataitungia album
hahahaha naona umeamua kunichekesha .....naandaa album kabla mze yusuph hajaingia studio
Lakin wewe Klorokwin magulumangu atatutoa speed kwenye sread yake ..kwani wewe malaika wako ni Lotus ?:biggrin1:
Sheria za JF haziruhusu cross ID calling, hivi ina maana sio wewe yule magulumangu wa Global Publisher? khaaa!Sasa Mkuu n aona kweli unaua..Mimi na Global ni Swala na Simba acha paka na mbwa.......ila kama kuna mtu anaiba au kuna uhusiano kati ha JF na Global nijue...nipe link nimuone huyu magulumangu wa Global...
Hapo red usijali, Magulumangu na malaika washahamia PM, sredi ishafikia lengo sasa tunajitawanya tu. Mimi malaika wangu nasubiri hizi habari za kiama zipungue nimuanzishie sred, hamruhusiwi kuguess
Sheria za JF haziruhusu cross ID calling, hivi ina maana sio wewe yule magulumangu wa Global Publisher? khaaa!
Malaika yuko saloon nini? mbona bado hajaonekana? sisi tunasubiri tumpokee kwa vuvuzela bana.Nimesikia na kuona mnanisema...Ntakutoa wewe tu Firstlady atabaki maana unaharibu shangwe weye.........
Malaika yuko saloon nini? mbona bado hajaonekana? sisi tunasubiri tumpokee kwa vuvuzela bana.
heheh tutampigia na wimbo wa taifa halaf tutasitisha kutuma post kwa dakika 3 ili kuheshimu ujio wa malkia. Hukumpeleka saloon za sinza lakini? mbona anachelewa.Mavuvuzela atachanganyikiwa...huyu anapigiwa gitaaaa mzee au zeze kabisa.....bado anamaliziwa nywele angg'areeeeeeeeee kama kareeeeeeee kabla ya kupareeeeeeeeee
heheh tutampigia na wimbo wa taifa halaf tutasitisha kutuma post kwa dakika 3 ili kuheshimu ujio wa malkia. Hukumpeleka saloon za sinza lakini? mbona anachelewa.
Nipo mkao wa kula.