Nsije nkapat ban bure!!!Ungemfanya nini, emb kuwa specific.
Mwanaume mwenye akili hamwambii kua hana mpango wa kuoa moja kwa moja... Kwa kupitia hints mbalimbali unampa binti ujumbe. Unaeza sema "baada ya miaka sita michango ya harusi itakua imefanda!!! Afadhani watanichangia sana" au "yaani nna mpango wa kuoa nikiwa nimeshajenga nyumba na kununua gari" hapo huna ata baisikeli na unaishi kwenye chumba cha kupanga cha buku 20!!! [emoji23][emoji23][emoji23] mdada anapata tarifa tu kua hapa si pakutua mizigo. Ambae atashindwa kupata ujumbe atakua ki.la.za kweeli!!!ladies now days, ukianzaga kuwambia kwamba sikuoi unaweza kuwekewa limbwata hadi ukashangaa, cha msingi labda itafutwe njia nyingine ya To let her go than denied marriage intetionaly , ni Kumkimbia tuu, sababu gal nowadays ni ving'ang'anizi vya ndoa na kutegesha wapate mimba, na ole umwambie unataka Ku break up, , Anyway.....
*Number don't lies......
Kabisa!Mungu apendi
huwanga vile naogopa limbatwa, utakuta ushakaa na girl hadi mnafanana then uko bored naye ,unawaza nkimwambie vile sikutaki eeee..! ataniendea kwa witch bure ili kila analosema nasema yesMwanaume mwenye akili hamwambii kua hana mpango wa kuoa moja kwa moja... Kwa kupitia hints mbalimbali unampa binti ujumbe. Unaeza sema "baada ya miaka sita michango ya harusi itakua imefanda!!! Afadhani watanichangia sana" au "yaani nna mpango wa kuoa nikiwa nimeshajenga nyumba na kununua gari" hapo huna ata baisikeli na unaishi kwenye chumba cha kupanga cha buku 20!!! [emoji23][emoji23][emoji23] mdada anapata tarifa tu kua hapa si pakutua mizigo. Ambae atashindwa kupata ujumbe atakua ki.la.za kweeli!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]huwanga vile naogopa limbatwa, utakuta ushakaa na girl hadi mnafanana then uko bored naye ,unawaza nkimwambie vile sikutaki eeee..! ataniendea kwa witch bure ili kila analosema nasema yes
√√wadada nanyi mjifunze kusoma alama za nyakatii , mbona watoto wachanga mnajuanga kama anataka maziwa sa hiii, anataka Maji , kwa nn hii mahusiano?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] una akili sana! huwa napenda kuwapa mabinti story za namna hii... halafu unapomsimulia anakutolea macho tukwa unyonge hata haongei, baada ua hapo hasira kila maraMwanaume mwenye akili hamwambii kua hana mpango wa kuoa moja kwa moja... Kwa kupitia hints mbalimbali unampa binti ujumbe. Unaeza sema "baada ya miaka sita michango ya harusi itakua imefanda!!! Afadhani watanichangia sana" au "yaani nna mpango wa kuoa nikiwa nimeshajenga nyumba na kununua gari" hapo huna ata baisikeli na unaishi kwenye chumba cha kupanga cha buku 20!!! [emoji23][emoji23][emoji23] mdada anapata tarifa tu kua hapa si pakutua mizigo. Ambae atashindwa kupata ujumbe atakua ki.la.za kweeli!!!
We ndo umesema ukweli. Wanawake wengi ukisema umri ni factor kubwa katika mahusiano huwa wanabisha kwa kutotaka kukubaliana na ukweli. Na mara nyingi huweza kuona opportunity bula kukubali uhalisia. Kwahiyo wanawake wakubali kwamba muda wao kulinga ni mfupi. Wengi huja na hoja ya Diamond na Zari. Hili limewapoteza wengi. Jiulize hizo case za Diamond na Zari ziko ngapi? Ahsante kwa kuliweka bayana hili.Hello members!
Habari za Kazi na majukumu mengine!!!! Poleni na mihangaiko na misukosuko ya wiki nzima. Ni matumaini yangu mu wazima kabisa wapendwa.
Okay, Kama una date na binti wa umri wa kuanzia miaka 23 kuendelea na hauna mpango wa kumuoa fanya jambo la kiungwanana kumuambia ukweli.
Sikuambii umuambie kua humtaki na hutaki kuoa bali muambie kua wewe si muoaji na unaona kama utampotezea muda wake bure na kuja kumuumiza.
Ongea kiungwana na ikishindikana muache hata kibabe. Hii ni kwasababu mwanamke anawekeza vitu vingi katika mahusiano, anawekeza akili yake, mali zake, hisia na kubwa kabisa anawekeza umri wake katika mahusiano
Unampunguzia uwezekano wa kukutana na mtu sahihi kwa kuendelea kumdanganya. Kwa Mwanamke, Age is not just a Number Age is Everything
Wakati ukimuacha wewe utatafuta Binti mdogo zadi yake, yeye atalazimika kutafuta Kijana mwenye Umri Mkubwa zaidi yake. Ndiyo ilivyo sote Wanaume na Wanawake huangalia Umri katika Mahusiano.
Ukimchezea na kumuacha akiwa katika Umri wa Miaka 30, inamaana atafute kijana mwenye Umri kuanzia Miaka 32 ambaye bado ni Single.Wako wachache sana wa namna hiyo, sisemi kua hawezi kupata, hapana Nasema utampa Wakati Mgumu na Uhuru wa Kuchagua.
Kuna Umri ambao Mabinti wengi huamua Kuolewa tu, si kwasababu ya Mapenzi bali kwakua hawana namna wanaona kusubiri Mtu Sahihi watapishana na Kalenda
Badilika, haikufanyi Mwanaume zaidi kwa kumpotezea Binti wa watu Miaka Mitano halafu unamuambia Wewe si Type yangu. Fanya jambo la Kiungwana na Malizaneni Mapema. Lakini najua kuna Mabinti ambao hawasikii wakiambiwa kuwa mambo yameisha, Mlazimishe asikie na Usimtumie na Kumuumiza kwakua anakupenda.
Women have many possibilities from 12 to 24, but from 25 and above,the graph starts to fall down whether they like it or not,
Dear,Women ,men love by reasons.
Mungu awabariki na nawatakia weekend njema,, weekend muruaaaaaa wapendwa.
Mpaka inafikia hatua hiyo jua mdada umeshindwa kujiongeza. Hii haiwezi kuwa ghafla ila lazima kulikuwa na dalili katika mahusiano za kutopendwa ila ukashindwa kuziona kutokana na kudata kimapenzi.Kuna mkaka alikaa na dada kwenye uhusiano na mwisho wa siku akaletewa kadi ya harusi eti huyo kaka anaoa mdada mwingine. Mdada alipata mshtuko, kumuuliza mwanaume akasema oooh samahani hatuendani kuoana...
Kudadeki!!! Ningemfanyia huyo mkaka kitu shetani anapenda.
Wanaume wanadanganywa ila impact siyo kama ya kudanganywa mwanamke. Kama alivyosema wanawake wana kipindi kidogo cha kung'ara ila wanaume age si tatizo sana kama kwa wanawake maana hata wakidanganywa they always have another chance.Ujumbe mzuri, lakini mahondaw... Unadhani wanaume hawadanganywi ?
We kiboko..utakuwa umewasaidia wanaume wengi jinsi ya kujitoa kwenye mahusiano kidiplomasiaMwanaume mwenye akili hamwambii kua hana mpango wa kuoa moja kwa moja... Kwa kupitia hints mbalimbali unampa binti ujumbe. Unaeza sema "baada ya miaka sita michango ya harusi itakua imefanda!!! Afadhani watanichangia sana" au "yaani nna mpango wa kuoa nikiwa nimeshajenga nyumba na kununua gari" hapo huna ata baisikeli na unaishi kwenye chumba cha kupanga cha buku 20!!! [emoji23][emoji23][emoji23] mdada anapata tarifa tu kua hapa si pakutua mizigo. Ambae atashindwa kupata ujumbe atakua ki.la.za kweeli!!!