Chibudee JF-Expert Member Joined Dec 28, 2016 Posts 1,775 Reaction score 2,404 Mar 4, 2020 #1 Dear wake zetu, kutokana na mvua kali hapa Dar, ma-HR kwenye ofisi tunazofanyia kazi wameomba tulale ofisini ili kuepusha bugdha; Maazimio haya yameafikiwa na kila mwanachama wa chama cha waume za watu Tanzania (CHACHAWAZATA) Huku wale waliojiajiri na wao wameomba walale kwenye biashara zao. Imeletwa kwenu na Katibu wa Itikadi na uenezi wa chama. Asanteni sana[emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
Dear wake zetu, kutokana na mvua kali hapa Dar, ma-HR kwenye ofisi tunazofanyia kazi wameomba tulale ofisini ili kuepusha bugdha; Maazimio haya yameafikiwa na kila mwanachama wa chama cha waume za watu Tanzania (CHACHAWAZATA) Huku wale waliojiajiri na wao wameomba walale kwenye biashara zao. Imeletwa kwenu na Katibu wa Itikadi na uenezi wa chama. Asanteni sana[emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
battawi JF-Expert Member Joined Mar 29, 2014 Posts 2,712 Reaction score 2,577 Mar 4, 2020 #2 Mazezeta wako wengi
dingihimself JF-Expert Member Joined Jan 9, 2016 Posts 9,702 Reaction score 20,134 Mar 4, 2020 #3 battawi said: Mazezeta wako wengi Click to expand... Duuh![emoji44]