Angalau kwa mara moja hoja ibadilike. Ila sicatch...nipo kuwaelewa woteKwani una catch mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Mwenyewe unafahamu Huko kt hatuwezi socialise openly kama ilivyo hapa,juu mna forums za makabila mbali mbali[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijakuelewa mkuu! Au umetumia google translator?Hujapata pata desturi ilivyo kumwona nani bora
Nadhani tunaweza kupatana kwa jambo moja. Kwamba tuepuke mabishano na badala yake tufanye maongezi yanayotufaidi.
unapoziacha halafu Unakuja kusemea pembeni,ni kama kweli unakuwa umepita bila kusimama[emoji28][emoji28][emoji28].Naunga mkono hoja yako. Kuna nyuzi ambazo hamna comment, hata moja tu, kutoka kwa wakenya. Humo ndani wanajiona wajanja wakisema wakenya ni wajinga na eti wakenya wanapita kimya kimya. Hoja zenyewe humo ndani ni za ajabu ajabu, za kujimwambafy kwa kusema Tz baba lao. Bila kutaja ni ubaba upi haswa, wa kiuchumi, kibiashara, kidemokrasia, who knows? Ila kilichonistaajabisha zaidi ni kwamba kuna uzi ambao ukurasa wote wa kwanza wanaume na midevu yao wanazungumza kuhusu kufirana. Am like WTF? [emoji15] Ni kweli kwamba debe tupu haliachi kutika, na wakenya nao hawapendagi ujinga.
Kusema ukweli sikujua kwamba huku kujaza threads kote ni kwa minajili ya kumkera mkenya ambaye kwa udogo wake mnavyosema hampaswi kushughulika kabisa!Unapoziacha halafu unakuja kusemea pembeni,ni kama kweli unakuwa umepita bila kusimama[emoji28][emoji28][emoji28].
Na ni kweli maneno yao yanakuwa yamekuchapa mpaka umecatch[emoji23][emoji23],anyway sisi furaha yetu ni kukukera wewe mkenya.sababu unajifanya unajua na hujui.
Kamsikilize mc tricky kwenye interview usikie anasemaje kuhusu tabia za nchi 5 EA[emoji23][emoji23].kuna kitu utaongeza tena.
Ukweli huwa inawauma sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefungua uzi nikijua kuna kitu cha maana, totally dissappointed...
Najua hili halitapokelewa kwa shangwe, ila wazungu ambao bila pingamizi wametupiku( manake wameungana kinamna fulani) , hatupati kujifunza kutokana na haya japo hatuwapendi. Elewa baniani mbaya kiatu chake dawa. Though we know they hate us, it doesn't mean we can't learn something from them.
Development is steered through unity .
Ikiwa upo JF kukera wengine na wala sio kujiongeza maarifa tofauti yako na huyo mnyama kwenye avatar yako itakuwa ni hio smartphone..unapoziacha halafu unakuja kusemea pembeni,ni kama kweli unakuwa umepita bila kusimama[emoji28][emoji28][emoji28].
na ni kweli maneno yao yanakuwa yamekuchapa mpaka umecatch[emoji23][emoji23],anyway sisi furaha yetu ni kukukera wewe mkenya.sababu unajifanya unajua na hujui.
kamsikilize mc tricky kwenye interview usikie anasemaje kuhusu tabia za nchi 5 EA[emoji23][emoji23].kuna kitu utaongeza tena.
màarifa yanatafutwa hapa Kenyan forums[emoji38][emoji38][emoji38]Ikiwa upo JF kukera wengine na wala sio kujiongeza maarifa tofauti yako na huyo mnyama kwenye avatar yako itakuwa ni hio smartphone..
Kama ukweli inakukera sisi hatutaacha kukueleza sababu unakereka, tuliwaambia uhuru amechukua hatua mbovu,na atakuwa wa kwanza kuomba maridhiano mkabisha.Kusema ukweli sikujua kwamba huku kujaza threads kote ni kwa minajili ya kumkera mkenya ambaye kwa udogo wake mnavyosema hampaswi kushughulika kabisa!
Na kuhusu huko kupita mabishano yasiyo na manufaa. He who argues with a fool is a fool.
Maabara kuu nchini Tz ilikuwa na mashine mbovu ya kupima sampuli, ilikosa wataalamu wa kutosha na wasimamizi walikuwa watepetevu- Waziri Ummy Mwalimu - JamiiForums ningependa usome hii tafadhali. Jifunze kitu usiwe unalishwa propaganda tuMàarifa yanatafutwa hapa Kenyan forums[emoji38][emoji38][emoji38]
Nyinyi mnaofunga mipaka kuzuia corona halafu mnaacha malori yapite[emoji23][emoji23].