Debt to GDP ratio globally Kenya is worse with 54%, Tanzania doing better with 37%

Mbna nisiridhike...
Pande hzo wasemaje kuhusu uchumi kushikiliwa na watu kumi..je unaridhika?
Unaridhika kwa kabila sita pekee kuchukua 50% ya ajira zote, na watu elfu 10 pekee kushika 62% ya uchumi wa nchi nzima?
 
Heheeee!!unajaribu kumuokoa mwenzako...
Rudi kwenye post uangalie kaandika nn kwanza ndio uregee..
Babuuu Turkana haupajui ama??!!!!
Watu wanaishi km mbuziii mbona wauliza maswali ya kindezi kaka!!!
 
Utawadanganya wajinga...labda kisukuma, lkn kiswahili...zii
kajifunze lugha adhimu ya kiswahili kwanza, lugha tamu yenye chimbuko lake TZ, ni werevu tu ndiyo wenye lugha zao, endeleeni kumtukuza mzungu kwa utamaduni wake
 
Heheeee!!unajaribu kumuokoa mwenzako...
Rudi kwenye post uangalie kaandika nn kwanza ndio uregee..
Ni kurejea kaka sio kuregea.
Kwan mtu aishie kibera slums ama mvaa mashuka ya maasai wa Turkana anaweza ingia two rivers mall.
 
Kwn two rivers siku hz huchagua wateja
Ni kurejea kaka sio kuregea.
Kwan mtu aishie kibera slums ama mvaa mashuka ya maasai wa Turkana anaweza ingia two rivers mall.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…