Deci ni kimeta?

Deci ni kimeta?

ndume

Member
Joined
Jan 10, 2011
Posts
53
Reaction score
2
Jamani nyie wataalam mnaejuajua mambo mbona mko kimya kuhusu pesa ambazo wananchi tumepoteza pesa kule deci,jamani deci mbona imefanya mbaya na hatuelezani kesi ilipofikia?hivi kwa sababu zipi jambo la deci liogopwe kama ugonjwa wa kimeta?au ndio kusema kuna kitu kimejificha mgongoni kwa deci?
 
Mkuu,
Watz waliowekeza huko wameliwa kwishney. Kama uliwekeza huko,sahau kwa sababu utapata vidonda vya tumbo bure.
 
Pesa za DECI ndizo zilitumika kwa uchaguzi wa kifisadi uliodhulumu haki ya wananchi.

Sasa zimewaishia na wanataka kutunyang'anya kwa kodi kubwa tulipie DOWANS ili wazidi kuneemeka MUNGU ATAWAPA STAHIKI YAO.

Lakini malipo yako hapa hapa duniani kama ulipoteza utalipwa kwa njia nyingine.
 
kwani huku kuanzishwa deci ulikuwa mpango maalum wa kunasa pesa zetu au wakubwa walizitamani tu pesa baada ya kuzishika zikitokea deci? jamani nielekezeni nijue.
 
Back
Top Bottom