Decoder mbili Tv moja

Decoder mbili Tv moja

uncle

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2007
Posts
325
Reaction score
184
Hivi unaweza kuinstall Decoder mbili kwenye TV moja. Naomba maujuzi
 
Inawezekana kabisa. Kinachohitajika TV yako iwe na input zaidi ya moja. Kwa mfano dikoda ya kwanza unachomeka kwenye AV1-IN, na dikoda ya pili unachomeka kwenye AV2-IN. Au dikoda ya kwanza unachomeka kwenye AV IN na dikoda ya pili unachomeka kwenye HDMI.
 
Yeah, jaribu kuwashirikisha hawa dotcom kama wapo karibu hapo, hizo HDMI zinakuwa kuanzia 1 mpaka 3, kuna AV, kuna AUX n.k na hata dikoda moja kwa TV 2 pia sio issue isipokuwa utakuwa unaangalia channel moja kwenye TV zote.

Dikoda 3, home theatre 1, Head phones 1, PS 1, vyote unaunga tu kwa wakati mmoja na hakuna issue
 
Tv nyingi za kisasa zina inputs za HDMI zaidi ya moja nyingine zinaenda mpaka hivo ata vingamuz vitatu unatumia ..mwendo wa inputs
 
Back
Top Bottom