Leo BAKITA wameujulisha umma tafsiri sahihi ya maneno kama ifuatavyo:
Decoder............. Kisimbuzi (kusimbua -decode)
Detector........... King'amuzi (kung'amua - detect)
Sikubaliani na BAKITA wanaposema mfumo wa dijitali uwa mfumo wa dijiti au wa kidijiti.
Kwa maoni yangu uwe MFUMO WA TARAKIMU kwa vile digit = tarakimu.
Receiver = Kipokezi
Sidhani kama tutaendelea kwa kutungia vitu walivyogundua wenzetu majina, mara mpakato, mara king'amuzi mara kisumbuzi, eeeh.
Kwanza lugha huwa haitungwi.
We kwa mawazo yako kukua kwa lugha kunakuwaje?
Sidhani kama tutaendelea kwa kutungia vitu walivyogundua wenzetu majina, mara mpakato, mara king'amuzi mara kisumbuzi, eeeh.
Kwanza lugha huwa haitungwi.
Leo BAKITA wameujulisha umma tafsiri sahihi ya maneno kama ifuatavyo:
Decoder............. Kisimbuzi (kusimbua -decode)
Detector........... King'amuzi (kung'amua - detect)
Na receiver maana yake ni nini?