ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wanasheria tusaidieni kujua kama Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (DED) ana amri Kisheria ya Kuwaweka Watu Ndani masaa 24.
Hata hivyo Kwa uzoefu wa Vijijini tulikokulima Watendaji Huwa wanawaweka watu ndani Kwa kutumia Migambo,Je sheria inawaruhusu?
My Take
Waziri tumechelewa sana kuonya
View: https://www.instagram.com/p/DE2gOF1P-1h/?igsh=Y200enpqbTFmeDU=
Hata hivyo Kwa uzoefu wa Vijijini tulikokulima Watendaji Huwa wanawaweka watu ndani Kwa kutumia Migambo,Je sheria inawaruhusu?
My Take
Waziri tumechelewa sana kuonya
View: https://www.instagram.com/p/DE2gOF1P-1h/?igsh=Y200enpqbTFmeDU=