dedicate this to your wife

Klorokwini bado upo upo au umeshafunga zile pingu???
 

Heshima zote mkuu,mistari imesimama ile mbaya....ni ile kitu ya kumkamatia vocalist wa miziki laini ya kibongo kama Mr Paul,then unamuingiza pale jikoni kwake akitoka.....kiongozi ni dude la platinum hili!
 
OMG shairi limetulia ukilisoma linakupa hisia fulani,iwe kwa alieoa au alieolewa au alie na mpenzi. For me,this is the best poem i ever read
 
Kwa kweli mistari imesimaa hii zawadi tosha ya valentine kwa mywife wako tosha kabisa ukiamka siku hiyo kabla ya kutoka unamtupia mama kama kibarua fulani hivi hongera sana,lol! i wish
 
Kamanda Kloro mashairi yameleta prospective leads kwa Michelle,LD,Maria Roza na Kisukari sasa una pakuanzia lol!
 
bukta la jeshi uko vzr,,,leta na ya upande wa 2 wa shilingi!
 
Kweli Mkuu, its about time I find me a Wife....,

Kuhusu hiyo copyright usijali mimi kila nikiona mtu ameitumia sitasita kumkumbusha atoe recognition...,
all ze best kaka.

Kaka nitungie shairi mimi na wengine ambao hatujaoa lol
heehe walokuwa hawajaowa tutawatungia la maandamano ili waitunisia tanzania lol

Mkuu naona umekuja kimashairi/poem hapa lazima utatoka tu lol! kama naona kinadada wangependa kuwa wameandikiwa wao,very original.
sssshhhhh! kamanda nitakunyang'anya ulawyer ujue. stop reading between them tricky lines.lol

Klorokwini nimekuandalia kata ya Mbege pale mezani,
Afu usiwe unaimba sana hayo mashairi mwenzio hujui kama...........
Haya leo iwe mwisho...........😛opcorn:
hehehe LD bana , kwa post hii nazani ndio nitazidisha kwasababu Who knows what tomorrow has to offer??

Klorokwini bado upo upo au umeshafunga zile pingu???
nimeshafunga yale mapingu ya guantanamo bay. si ndio unaona tunarenew kwa mashairi. kikiripuka huku nakuja kwako. si utanipokea?

Heshima zote mkuu,mistari imesimama ile mbaya....ni ile kitu ya kumkamatia vocalist wa miziki laini ya kibongo kama Mr Paul,then unamuingiza pale jikoni kwake akitoka.....kiongozi ni dude la platinum hili!
senks kiongozi.

OMG shairi limetulia ukilisoma linakupa hisia fulani,iwe kwa alieoa au alieolewa au alie na mpenzi. For me,this is the best poem i ever read
senks kisugar. halaf hizo hisia zako namimi zimenipa hisia ujue.

Kwa kweli mistari imesimaa hii zawadi tosha ya valentine kwa mywife wako tosha kabisa ukiamka siku hiyo kabla ya kutoka unamtupia mama kama kibarua fulani hivi hongera sana,lol! i wish
senks gaga, nilifanya hii ili watu wapunguze bajeti ya valentine. si unajua umeme hakuna, so kutakuwa na gharama za ziada za mishumaa.

cant wait for the next episode.....
might be cancelled ,interest to be considered, think! hashy think! lol

Kamanda Kloro mashairi yameleta prospective leads kwa Michelle,LD,Maria Roza na Kisukari sasa una pakuanzia lol!
hehehe kamanda uporoto bana!

bukta la jeshi uko vzr,,,leta na ya upande wa 2 wa shilingi!
senks lady the wise, dah! hiyo request ni ngumu aisee , dah! tutamuomba Miss Judith aongelee upande wa 2.
 
Bukta la geshi ra wananchi, safi sana kiongozi. Leo sina raha sana mbwa wangu wanaumwa wanaharisha niko nao kwa vet sijui wamekula nini.
 
Bukta la geshi ra wananchi, safi sana kiongozi. Leo sina raha sana mbwa wangu wanaumwa wanaharisha niko nao kwa vet sijui wamekula nini.
dah! hawajalogwa lakini? waswahili sku hizi wanaloga mpaka kingdom innocent animalia. wakiendelea sana wapeleke India kuna matibabu ya kutosha.
 
Klorokwin habari ya jpili, unasema utaendelea eti, sawa tu kwa sababu najua wewe ni mwaminifu toka moyoni
Kesho ulete lingine basi unidedicatie mimi.
Because we don't know what tomorrow has to offer!!!!
 
man kloro
inakuwaje mjita wangu?
kumbe upo fit ki vile mipango mizima ya mashairi
sasa kama vipi unaweza kunata na beat tufanye mipango kwa majani sana tu
 
Klorokwin habari ya jpili, unasema utaendelea eti, sawa tu kwa sababu najua wewe ni mwaminifu toka moyoni
Kesho ulete lingine basi unidedicatie mimi.
Because we don't know what tomorrow has to offer!!!!
at least for this post I can guess what tomorrow has to offer. request granted but can we make it not tomorrow?
 
man kloro
inakuwaje mjita wangu?
kumbe upo fit ki vile mipango mizima ya mashairi
sasa kama vipi unaweza kunata na beat tufanye mipango kwa majani sana tu
hamna jibaba, nimeretire long time. sasa niko full comitted, I only take this to put me in a chillaxing mood.
 
hamna jibaba, nimeretire long time. sasa niko full comitted, I only take this to put me in a chillaxing mood.

laakini unaweza kufanya mipango ya noti mjita
hawa watoto wanaolia na mbagala mbagala
hawawezi kuandika wala nini
 
at least for this post I can guess what tomorrow has to offer. request granted but can we make it not tomorrow?

Wao! Its ok my dear, najua siku uliyoichagua wewe itakuwa nzuri zaidi, May be ni tarehe.......ha ha ha!!
 
Wao! Its ok my dear, najua siku uliyoichagua wewe itakuwa nzuri zaidi, May be ni tarehe.......ha ha ha!!
ha ha ha you never get me wrong, acha niset alarm ikifika hiyo tarehe inishtue.
 
ha ha ha you never get me wrong, acha niset alarm ikifika hiyo tarehe inishtue.

Sasa si unaona tumeshakubaliana wala hatujatumia fomula yoyote hapa. Ok ok am waiting.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…