DEDICATION TO THE LIVING LEGENDS - Maadili zaidi

DEDICATION TO THE LIVING LEGENDS - Maadili zaidi

TIMING

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
28,186
Reaction score
15,549
Wanajanvi,

Najua of late tumekua kimtindo sana na haya mambo ya election primaries yamechukua nafasi kwa baadhi yetu... presha zilipanda, kushuka, tukachemka na hata kuongea pumba.. its njot bad hasa ukizingatia bila pumba mchele unakosa thamani

Now, this idea has been in my mind since i joined JF, i wanted to salute the "living legends" - watu wanaotu-inspire, correct, challenge and love but for a good course


  • Generally kwenye social na starehe huwa namwangalia mzee kama King Kiki as a model kutokana na his humbleness ambayo ni tofauti sana na wakongo wengi, he is modest talented yet a humbe person

  • Kwenye sports nimekua nikisoma taarifa za watu kama Essien, Gabriesellassie nk na kuvutiwa na jinsi wanavyosaidia na kuheshimika kwao
  • Nikija kwenye mambo ya taaluma huwa naadmire sana kazi za Covey [vitabu kwani hunisaidia hata kwenye general management na kazi nyingine
  • Nafarijika sana kusoma articles za Jenerali Ulimwengu pia na busara za pdre Karugendo
Hawa wote ni living legends na pia hunipa raha sana nionapo wanavyoinfluence maisha ya watu in one way or another

JE UNAWEZA KUENDELEZA HII THREAD KWA KUWAPA BIG UP UNAODHANI WANASTAHILI?
 
wanajanvi,

najua of late tumekua kimtindo sana na haya mambo ya election primaries yamechukua nafasi kwa baadhi yetu... Presha zilipanda, kushuka, tukachemka na hata kuongea pumba.. Its njot bad hasa ukizingatia bila pumba mchele unakosa thamani

now, this idea has been in my mind since i joined jf, i wanted to salute the "living legends" - watu wanaotu-inspire, correct, challenge and love but for a good course


  • generally kwenye social na starehe huwa namwangalia mzee kama king kiki as a model kutokana na his humbleness ambayo ni tofauti sana na wakongo wengi, he is modest talented yet a humbe person

  • kwenye sports nimekua nikisoma taarifa za watu kama essien, gabriesellassie nk na kuvutiwa na jinsi wanavyosaidia na kuheshimika kwao
  • nikija kwenye mambo ya taaluma huwa naadmire sana kazi za covey [vitabu kwani hunisaidia hata kwenye general management na kazi nyingine
  • nafarijika sana kusoma articles za jenerali ulimwengu pia na busara za pdre karugendo
hawa wote ni living legends na pia hunipa raha sana nionapo wanavyoinfluence maisha ya watu in one way or another

je unaweza kuendeleza hii thread kwa kuwapa big up unaodhani wanastahili?

yeah, its important
 
True indeed... I wish Salim awe reckoned kwa michango yake ingawa mfumo umemaliza
 
Back
Top Bottom