Dedication

Alkanjir

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
202
Reaction score
518
Sili nikashiba, nikikukumbuka, Hula haba, na kushikashika, Ni chozi za huba, kweli nasumbuka.


Meniondokeya, wangu mahabuba, Nilikuzoweya, kwa yako mahaba, Nnajikondeya, sili nikashiba.”
 
Sili nikashiba, nikikukumbuka, Hula haba, na kushikashika, Ni chozi za huba, kweli nasumbuka.


Meniondokeya, wangu mahabuba, Nilikuzoweya, kwa yako mahaba, Nnajikondeya, sili nikashiba.”
Mkuu vipi, umetoswa au shemeji yetu ametangulia??
 
Nataman arudii kwangu Ila kumwambia nashindwa..!!!!
 
Sili nikashiba, nikikukumbuka, Hula haba, na kushikashika, Ni chozi za huba, kweli nasumbuka.


Meniondokeya, wangu mahabuba, Nilikuzoweya, kwa yako mahaba, Nnajikondeya, sili nikashiba.”
mazowea tu hayo ndugu,yatapita..ila natamani sana kutokwa chozi la talaka..tatizo nimekua sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…