SOLD: Deep Freezer Lt 306(Used) inauzwa 550,000 Tshs

Retailer

Member
Joined
Jan 18, 2020
Posts
94
Reaction score
119
Moja kwa moja

Deep freezer Kampuni ya Mo lenye ujazo wa lita 306 linauzwa.

MDA WA KUTUMIKA: Limetumika kwa miezi miwili na nusu (hadi wakati huu ninavyoandika.

CONDITION: liko vizuri sana yaani bado lina upya upya. Halina tatizo lolote.

MAHALI: Dar, Temeke District

Mawasiliano: 0674320606ATTACH]
 

Attachments

  • IMG_20200315_130918_015.jpg
    50 KB · Views: 7
Kwanini unauza?
Maana mwafrika akinunua kitu kibovu anauzia wenzake wakati ni dhambi.

Allah kariim
Ubovu si sababu pekee ya kuuza mali iliyotumika.

Freezer ni zima kwa asilimia 100. I guarantee

sababu ya kuuza ni kusimama kwa biashara baada ya mlipuko wa Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…