Deep State ni nini?

Deep State ni nini?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Nimekuwa nikiwaza usiku na mchana kuhusu "Deep State" nikijiuliza hivi ni nini hasa?

Kwangu mimi Deep State ni kikundi cha wahuni ambacho kinaincontrol Serikali kuu, Deep state linaundwa na wafanyabiashara wakubwa kama wa mafuta, siraha, madawa ya kulevya pia huwa lina viongozi wastaafu ambao wanamiliki biashara zao nawao ama wakuwa madalali wa wafanya biashara wa nje.

Wewe unaelewa nini kuhusu Deep State? tujuze hapa! Je! Tanzania kuna Deep State?
 
Sio watu cheap hivoo... ni watunza misingi ya taifa, ndo maana unalala usingizi na kufanya shughuli zako bila shida ujue wao wameamua iwe hivo, wakiamua pasikalike hata humu hutaingia, wape heshima yao wakiongozwa na kijana mzee mr born town mtu na nusu, mtu tajiri, mbabe wa washamba kutoka bush..... salute kwako mzee
 
Hakuna cha deep state wala shallow state.

Huu ni ujinga wa vijana wadogo kupewa kazi Usalama Taifa. Wakivimbiwa beer wanaanza kudanganya watu ujinga wao wa deep state na mashuzi yake.

In reality kinachodhaniwa ni mfano wa hao wenye sifa zinazotajwa kuwa za 'deep state' ni wale wazee wajanja wajanja kina Makamba na Kikwete waliojimilikisha mamlaka ya nchi na kutupangia wa kuongoza ili kulinda maslahi yao.

Hivyo kwa kifupi, deep state ni wanasiasa waliowazidi wenzao ujanja wa kuweza kuwa na kauli na mambo ya uendashaji wa nchi.
 
Hakuna cha deep state wala shallow state.

Huu ni ujinga wa vijana wadogo kupewa kazi Usalama Taifa. Wakivimbiwa beer wanaanza kudanganya watu ujinga wao wa deep state na mashuzi yake.

In reality kinachodhaniwa ni mfano wa hao wenye sifa zinazotajwa kuwa za 'deep state' ni wale wazee wajanja wajanja kina Makamba na Kikwete waliojimilikisha mamlaka ya nchi na kutupangia wa kuongoza ili kulinda maslahi yao.

Hivyo kwa kifupi, deep state ni wanasiasa waliowazidi wenzao ujanja wa kuweza kuwa na kauli na mambo ya uendashaji wa nchi.
Kwakifupi ni wahuni
 
Tafuta kuwa na pesa nyingi mali nyingi kiufupi uwe tajiri afu utagundua baadhi ya mambo mengi hayapo kama unavyotaka apo ndipo utaanza harakati za kutaka kila jambo linyooke kama mtazamo wako unavyotaka katika harakati hizo utakutana na wenye lengo kama lako hapo mtafanya mengi kama kuamua nani awe mwenyekiti wa mtaa,mbunge ukienda mbali zaidi kwenye u billion utataka hata rais awe unayemtaka ww so deep state ni zao la matamanio
 
Sio watu cheap hivoo... ni watunza misingi ya taifa, ndo maana unalala usingizi na kufanya shughuli zako bila shida ujue wao wameamua iwe hivo, wakiamua pasikalike hata humu hutaingia, wape heshima yao wakiongozwa na kijana mzee mr born town mtu na nusu, mtu tajiri, mbabe wa washamba kutoka bush..... salute kwako mzee
Kijana Mzee anaitwa nani?
 
Back
Top Bottom