Defao aonekana Nairobi akiwa kachoka!

Daah naipenda sana nyimbo yake inaitwa Phil
 
Loh, weka mbali na watoto, badala ya kumtishia mtoto nyau, unamtishia defao.
 
Usije mjini

Nipo huku Masaki na miaka 21 sasa nipo huku! Lakin mchizi simfaham wala nin! we bado upo gongo la mboto kule ndani ndani mkuu?! habar za downtown sijui ulizijulia wapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…