Defence Alibi

Defence Alibi

Ukitaka Ubaya...

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
498
Reaction score
140
Wana JF naamini ndani ya jukwaa la sheria nitapata msaada wa hili neno "Defence Alibi" maana yake nini?
 
Niutetezi anao weza kuutumia mtuhumiwa kuonesha kua hakuwepo kwenye eneo la tukio siku na mda lilipo tokea. Kwamfano tukio limetokea Da,r Jun 2 saa 2:28 mtuhumiwa anaweza kujitetea kupitia defence of Alibai kwa kuonesha eidha tiketi ya Ndege au Gari itakayo thibitisha kua Jun 2 saa 2:28 alikua sehemu nyingine. Kwa mfano Mbeya au Tanga, pia anaweza kuonesha Viza ambayo inaonesha alikua nje ya nchi siku na mda ambao tukio lilitokea.
 
The definition of an alibi is an excuse used by a person when they’re trying to avoid getting into trouble, so they say they were somewhere they weren’t.

(noun)
An example of an alibi is when parents asks their teen where he has been, and the child says he was studying at the library when he was really hanging out with friends at the mall.
When a person is charged with burglary but he says he was busy giving a seminar during the time of the break-in, it is an example of an alibi.
The definition of alibi is the act of saying that someone was with you instead of where someone is accused of being, either as a defense for an accusation or as a way to avoid getting into trouble.

(verb)
When a wife says her husband was at home when the murder occurred, it is an example of alibi.
 
Niutetezi anao weza kuutumia mtuhumiwa kuonesha kua hakuwepo kwenye eneo la tukio siku na mda lilipo tokea. Kwamfano tukio limetokea Da,r Jun 2 saa 2:28 mtuhumiwa anaweza kujitetea kupitia defence of Alibai kwa kuonesha eidha tiketi ya Ndege au Gari itakayo thibitisha kua Jun 2 saa 2:28 alikua sehemu nyingine. Kwa mfano Mbeya au Tanga, pia anaweza kuonesha Viza ambayo inaonesha alikua nje ya nchi siku na mda ambao tukio lilitokea.

Naanza kupata picha mkuu!


 
defense of alibi.ni pale ambapo mtuhumiwa anasema sikuwepo eneo la tukio ambapo kosa limetendeka pitia kesi ya nguza viking(babu seya) mtoto wake aliachiwa kwa kutumia defense of alibi
 
error on the last paragraph, does not amount to alibi coz u do not shows us where the accused he was, during the res criminis.
 
Back
Top Bottom