Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Andika chochote ukijuacho kuhusu defensive driving.
Mimi naanza na hii;
1. Fanya ukaguzi wa gari kabla hujaanza safari yeyote.
2. Heshimu speed limit.
3. Ata kama ni haki yako kupita jiridhishe kwanza kabla haujapita hasa maeneo ya junction na kwenye taa au mzunguko (round about).
4. Usiendeshe ukiwa umelewa
5. Macho yako yawe yaconcentrate barabarani na kwenye vioo (side mirrors, hind mirrors) na gari za mbele na pembeni (blind sports) na si chura za wanawake.
6. Hakikisha unaacha umbali wa kutosha baina yako na gari la mbele
7. Epuka destructions zozote wakati unaendesha kama simu, maongezi n.k akili yako iwe barabarani.
8.
9...
10
Mimi naanza na hii;
1. Fanya ukaguzi wa gari kabla hujaanza safari yeyote.
2. Heshimu speed limit.
3. Ata kama ni haki yako kupita jiridhishe kwanza kabla haujapita hasa maeneo ya junction na kwenye taa au mzunguko (round about).
4. Usiendeshe ukiwa umelewa
5. Macho yako yawe yaconcentrate barabarani na kwenye vioo (side mirrors, hind mirrors) na gari za mbele na pembeni (blind sports) na si chura za wanawake.
6. Hakikisha unaacha umbali wa kutosha baina yako na gari la mbele
7. Epuka destructions zozote wakati unaendesha kama simu, maongezi n.k akili yako iwe barabarani.
8.
9...
10